Hakuna asiyependa hela ndyo lakini tunatafuta na sisi za kwetu hatutegemei kuhongwa kama wewe hapo,, hivi unajua kama hakuna kitu kizuri kama kula hela ya jasho kwanza halafu nyingine zije kama nyongeza
Mi love you more cute....humu watakatifu kwenye maandishi ni wengi sana lakini kwa chemba wengi wanapulizwa sana nyuchi na vinyeo....ila ndivyo hivyo...wanavyokupopoa unajibu AMINA
Kuna muda nilikuwa nakuona mkosefu sana kwa sababu nami ni mwanangu wa kiume....lakini nikaangalia uchafu tunaoufanya siye tuliojificha .,...nikaishia kujisemea..."ifikie hatua nijifunze kumind my own business "......huenda MNA kheri mnaojulikana..,...watu natoa mimba jamani acha tu