Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,235
- 86,950
๐๐๐๐ Hajui km hiyo nyimbo anajichamba mwenyewe tenamleta mada kajichagulia ndio namuuliza ana uhakika alichovuta ni bange
๐๐๐๐ Hajui km hiyo nyimbo anajichamba mwenyewe tenamleta mada kajichagulia ndio namuuliza ana uhakika alichovuta ni bange
Leo siumeshadadia eti mie nikatoto kazuri kama hunijui mie unatoka wapi kusema nimimi sijui shunie ni usalama wajf so anajua watu je wewe huoni id zipo nyingi na ukiangalia wanavyoandika utajua huyu ni fulani huyu ni fulani mbona mie sihangaiki nawao??Da mau mimi tena..?? ๐๐๐
Mbona mi always niko upande wako, nani ka kusema??
Hebu tema mate nimchape..!!
Sasa da mau mi nikuchukue nakujua.??
Halafu mimi sina bifu na mtu yoyote humu..!!
Sema ww hutaki kuniona nacheka ukigombana na watu wako ilo ndo tatizo lako..!
Ebu na mimi nijaribu kujilipua nione nitatukwanaje
Mtoa Maada umekumbwa na matatizo ya akili au umelewa?
Sasa ole wako unitukane nyokooo








unayatimbaawewe mimi humu ndani sina mwanaume na wala sjafikia level za kupapatikia wanaume haswa wa mitandaoni hilo mojaNafuu mie bangi wewe malapu lapu yale machafu na bado kama mpo group hizo ni shida zenu mnaaniandama sana kama ninakula kwa mamazenu , kisa nini wanaume wa huku wananini hadi muwe mnawasi wasi??
Da mau anataka akimchamba mtu na mi ninunue ugomvi tumchambe, ๐๐๐Maybe anajua mtu ukiwa upande wake Maanake na maadui zake wawe wako,, kitu kisichowezekana
Tupo mkuu.Kumbe kuna wamba humu ndani wanagombaniwa? ๐๐
โ๏ธโ๏ธโ๏ธโ๏ธโ๏ธ wewe ni mnafiki na mchonganishi na ipo siku tu watu watajua hilo kwa wanaokujua kuwa wewe ni rafiki yao . Wandani mie zaidi ya huku sikujui nafuu.๐๐๐๐ Hajui km hiyo nyimbo anajichamba mwenyewe tena
Sawasawa ๐Da mau anataka akimchamba mtu na mi ninunue ugomvi tumchambe, ๐๐๐
Hilo limeisha jamani atakayemchokoza da mau ninaye ama zake ama zangu ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
make kwanza ncheke๐๐๐๐ Hajui km hiyo nyimbo anajichamba mwenyewe tena
Mnamsema amekuja kudanga na ma ID fake kibao anawachukulia mabwana zenu eti!Masikini wa Mungu๐คฆ๐คฆ.. Kipenzi Mimi hua sizingatiagi Nani anaongea Nini ninavyopita kulike,.. Uwe unanistua basi niache my dear.... Sipendi kuona ukiwa na huzuni kipenzi changu wamekusema Nini kibaya kwani?
Mimi humu simtagigi mtu amseme mtu mie niko kivyangu nanikitukanwa na watu najipangaga kivyangu . Sijaomba msaada wamtu wala wakusaidiwa . Hili ni jukwaa huru hakuna urafiki ila sio mtu aje kunionea huruma na huku akiona na dhihakiwa wanacomment na kulike hiyo ndio shidaMaybe anajua mtu ukiwa upande wake Maanake na maadui zake wawe wako,, kitu kisichowezekana
Tatizo da mau unapenda kujishtukia na wewe..!!Leo siumeshadadia eti mie nikatoto kazuri kama hunijui mie unatoka wapi kusema nimimi sijui shunie ni usalama wajf so anajua watu je wewe huoni id zipo nyingi na ukiangalia wanavyoandika utajua huyu ni fulani huyu ni fulani mbona mie sihangaiki nawao??
Mtacheka sana ila hainisaidii ninachotaka kujua shida yenu nini??make kwanza ncheke
Am your big fan Unique Flower .. And am very sorry Kama Kuna siku nilishawahi kukukwaza,, I hope you know ninavyokupenda na siwezi kuwa mnafki sio kwako tu, niko hivyo kwa mtu yeyote yule anayenizunguka.. sio humu tuMimi humu simtagigi mtu amseme mtu mie niko kivyangu nanikitukanwa na watu najipangaga kivyangu . Sijaomba msaada wamtu wala wakusaidiwa . Hili ni jukwaa huru hakuna urafiki ila sio mtu aje kunionea huruma na huku akiona na dhihakiwa wanacomment na kulike hiyo ndio shida
๐๐๐ila mauMbona hamjii sasa na hizo id zenu zakiwakii tuanze kulipuana
Shida Nini jamani, mbona unakua hivyo kipenzi?Post closed nimepata shida ya wanawake kunisakama
Weee ๐๐๐๐โ๏ธโ๏ธโ๏ธโ๏ธโ๏ธ wewe ni mnafiki na mchonganishi na ipo siku tu watu watajua hilo kwa wanaokujua kuwa wewe ni rafiki yao . Wandani mie zaidi ya huku sikujui nafuu.