Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,193
Upo sahihi...Ooh kwenu ni Arusha mkuu
Upo sahihi...Ooh kwenu ni Arusha mkuu
Ooh vizuriUpo sahihi...
Skuizi jf tunaiogopa zaidi ya ukoma mkuu, maana hizi namba ndio zilisababisha picha za watu zikatupiwa humu jamvini...tehheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!
Ningekuwa na namba yako ya simu ningekupigia muda mkuu nimependa hii comment yako

Anza kuwekeza kwangu jamani naanza chuo mwezi wa tisa![]()
Zigo lipo? Utam wa mshkaki nundu 😎Mambo gani![]()


hayo mambo yanatukosesha marks mjini
Zigo lipo? Utam wa mshkaki nundu![]()
Hakuna demu rahisi kumtongoza kama aliyemaliza chuo then hana mtu, hata kama kaajiriwa.
Ninao mifano yao wengi tuu, tumemaliza nao na sasa baadhi ni single mamaz na wengine watangatanga tuu.
Wadada tambueni lifespan ya ujana ni fupi sana, msiichezee vibaya.
AT YOUR OWN RISK.