PlayerSwali lako kwa mazingira haya tunayochanganyikana na warembo kutoka kila mkoa na wa aina tofauti tofauti naweza kusema ni la mtego na nikilijibu vibaya litanicost. SIJAOA MIMI.
Ila mbona unajua bhna au unataka tu kuniexpose hapa?
Teh jibu unalo.hahahhhh mambo gan yamenyooka
hahahahahah ila Mungu anawaonaNdoa si mchezo ila kwa nyakati hizi upatikanaji wa mbunye umekuwa rahisi wanaume wengi hawataki kuoa. Ni kumbunyeka na kusepa kuepuka kero za ndoa
Eehkwa yule demu wa jf au? uwiii don't tell me jana ulikuwa unanizuga kuniambia nikutafutie.
bora akili ilicheza vizuri ningeumbuka loooh
Yeah striker like pogba.Player
kweli kabisa pacha wadada wengi hawajui tu kuhusu swala la ndoaNdoa ni Kitu kingine kabisaa, sio suala la kumlazimisha mtu. Kumbuka huyo unaejilazimisha kwake utaishi nae miaka yako yote ilobaki, sasa kama hakupendi mtaishije humo ndani????
Hii tabia wanayo wadada wengi kwa kweli hasa wakiona kijana ana uwezo. Tunasahau kuwa ndoa ni zaidi ya mali. Hili linapelekea ndoa nyingi kukosa mwelekeo sababu mmoja wao hakuwa tayari.
Jamaniiii, ndoa huwa hailazimishwi kabisaa. Ukilazimisha madhara yake ni makubwa mnoo, inawaathiri hata watoto wasio kua na hatia.
Tubadilike kama ndoa yako ipo ipo tuuu
HatersKhaaaaaa
sio kipimo cha upendo kipimo cha kuishi maisha mazuri wanavyosema wenyewe etHaka kausemi cha "MWANAUME ANA KAZI NZURI TU" huwa sikaelewi elewi, eti wakina dada, uzuri wa kazi ndio kipimo cha upendo ama???ππππππππ
nini? jibu swali langu. unajifanya hukumbuki kuanzishiwa thread? uko juu mwanangu "in mong'oo voice"
Kumbe! kwa hiyo kazi ingekuwa si nzuri jamaa asingesumbuliwa na nyimbo za ndoa kila siku.πsio kipimo cha upendo kipimo cha kuishi maisha mazuri wanavyosema wenyewe et
Chalii ake acha tu.nini? jibu swali langu. unajifanya hukumbuki kuanzishiwa thread? uko juu mwanangu "in mong'oo voice"