wadada the guide jinsi ya kumkubali mpenzi

....makala kama hii lazima uwe umepitia mengi na xperience ya kutosha
 
Hahahh asa mbona ya 3 na ya 4 vinakinzana? What if naturale yangu inajumuisha kuvuta sigara au kitu kidgo tu naliachia jitusi kama vile naangalia mpira afu mpira ukagonga mwamba?!
 
the guide, the guide the guide.......lol

jf is never boring....lol
 
ahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaa

kaka bora nimekuona kesho ntakuja ofisin unipitishie uzi vyeti vyangu original na unibrashie(unipigie kiwi)CV yangu coz nimekuwa cpat kaz kila nikiaaply for job..
 
sijakuona siku nyingi kweli ? upo mkuu na Katavi pia
 
Last edited by a moderator:
sijakuona siku nyingi kweli ? upo mkuu na Katavi pia
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…