LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,148
- 11,196
Habari zenu
Mimi ni kijana Handsome nnayevutia kwa kila mwanamke apitaye mbele yangu. Sina ajira kwa sasa yaani naishi kwa akili ya mjini
Lakini kuna kitu kinaniboa sana hasa hawa wanawake wanaotaka mapenzi halafu pesa hawana. Yaani huwa wananikera sana, hivi hamjui thamani ya mwanaume nyie?. Mwanaume pia anahitaji matunzo na kupetiwa petiwa
Mdada sura huna ,shepu nayo huna hata hela huna? Then unataka mapenzi kwa vijana mahandsome kama sisi
Mtaishia kutuita kaka na shemeji tu
Mimi ni kijana Handsome nnayevutia kwa kila mwanamke apitaye mbele yangu. Sina ajira kwa sasa yaani naishi kwa akili ya mjini
Lakini kuna kitu kinaniboa sana hasa hawa wanawake wanaotaka mapenzi halafu pesa hawana. Yaani huwa wananikera sana, hivi hamjui thamani ya mwanaume nyie?. Mwanaume pia anahitaji matunzo na kupetiwa petiwa
Mdada sura huna ,shepu nayo huna hata hela huna? Then unataka mapenzi kwa vijana mahandsome kama sisi
Mtaishia kutuita kaka na shemeji tu