Ni dunia nzima sio Tanzania tu.
Hii mfumo upo na utaendelea kuwepo.
Hata ukilalama haitosaidia cha msingi ni kuwa na mipaka ya matumizi ya simu.
ila kiukweli mm sijaona ubaya mfano mm unakuta nafanya kazi masaa 10 muda wote huo ninakuwa sijashika simu na wakati nikishamaliza kazi zangu ni muda wa kwenda nyymbani naona ni fursa nzuri kuchati kwenye simu whatsapp, insta, jamii forum, twitter, linked in, pinterest. Halafu anatolea mtu kama wewe eti anauliza mbona uko bize na simu k.u.m.a.n.y.o.k.o. tunaelewana tu siku hiyo. Simu yangu mimi halafu ukasirike wewe.
Kila mtu na maisha yake hapa mjini.
Sio kila anaye shika simu anachati wengine wanaingiza hela na wanaangalia akaunti za hela. Forex trading mobile system.