Handsome man
JF-Expert Member
- May 6, 2017
- 880
- 956
Yanaingilia kushoto yanatokea kulia hawa ma binti
HahahahahahWanajishaua..tena ukimuongelesha anajifanya akusikii..alafu anataka mume mwema...labda waumbe wao..
Picha ya nn mkuuPicha tafadhari
KweliWanajishaua..tena ukimuongelesha anajifanya akusikii..alafu anataka mume mwema...labda waumbe wao..
Niaje wakuu
Jamani hizi smartphone zinaharibu watu jamani ngoja leo povu linitoke unakuta binti mzuri anashindwa kusalimia watu kisa tu yuko bize na simu yake may be yuko insta snap au whatsapp hata ukimsalimia hakuitikii sijui ndo mashauzi au ulimbukeni alafu unakuta binti analalamika cjui nimelogwa kwanini sipati mwanaume wa kunioa hivi mnafikiri wanaume wakuoa wanapatika insta au wasup wanaume wa kuoa ndo hao mnaopishana nao kila siku kwenye daladala na mizunguko ya kila alafu mnajifanya mko bize na masimu yenu
Yanaingilia kushoto yanatokea kulia hawa ma binti
Unacheka nnHahaaa helo helo
Ila wadada wamezidiKwenye hii issue hata mijanaume ipo...unakuta Man anachati njia nzima 3km on phone!? Ndiyo mana Galz wanasema nowdays Gentlemen wameisha mwanaume unachat pembeni ya rami hadi linataka kuangukia kwenye mtaro...aisee upuuzi huu
Mbona hawajiwamekusikia watakuja wasubiri.
HeeeNaipenda simu yangu maana Hainisaliti wala kuniumiza, unaeza ukawa na imani na mtu haijalishi wa kiume au wa kike....Basi nakuwa busy na simu yangu na Mambo Mengine ambayo Hayaniumizi Kama Vile Mpira!
nini teenaHeee
Si umesema unapenda cmu yako coz haikusalitinini teena