Wadada punguzeni njaa!

Yaani we jamaa umenigusa kuna kabinti nilikaalika home, siku hiyo nikakaacha rumu kaliondoja na saa,taulo na shati langu...nilichofanya nilimblock kwakila namba atakayo nipigia nayo...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungesema .. HATUFUATI TARATIBU ningekuelewa....

Hivi ninapojibebea kiholela, na huyo anayebebeka kiholela amefuata taratibu
 
Kuna mmoja huyo kila akiona nguo nimevaa akiisifia lazima akija gheto aichukue, akanifanya nikawa sina Uhuru hata wa kupiga picha nipost...maana naona kabisa angezimaliza zote...kila siku nifanye kazi ya kumnunulia yeye nguo


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila vijana wa kiume mna gubu sana chaaa,..mkiombwa nauli mnalia,mkiombwa spray ya buku jero kamasi hizi hapa,.jamanii hadi chumvi roho zinawaruka kama ndondo jikoni lol๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚mnatakaje etii???

BURE GHALI jomoniii,.๐Ÿ˜


Kwanini usijitosheleze mwenyewe, kila siku kuomba tu? Mnajuwa mnaboa sana na ndiyo maana hamtongozwi siku hizi.
 

Kwan mkuu kwako wapi na mm nije nushukue kinacho nifaaa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ