Mmezizidi umri mkuu hapa pita kimya tu ....kuna utoto mwingi mno hapa ....Hivi nazeeka au! Hizi mada tumezizidi umri.
Hata sielewi.
Ahaaa ahaaa ni balaaa ingine mjiniHahahahahahahahahahahaha magu legeza kidogo watu wanalalamika sukari yao inaisha huko magetoniiii eeeeh
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikua anapelekewa mme mwenzako!Dah kuna demu fulani nilikuwaga nae kwa muda mfupi, yeye alikuwa akija kwangu anaiba zile packet za unga wa sembe "chaguo la mama" , sijui alikuwa anampikiaga nani huo ugali aisee....na kwao hawakuwa njaa kihivyooo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmezizidi umri mkuu hapa pita kimya tu ....kuna utoto mwingi mno hapa ....
Eti analilia chunvi na sukari yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi nazeeka au! Hizi mada tumezizidi umri.
Hata sielewi.
Sa kwanini ulimtaka? Hukuona ambao wapo fresh
Nikija mie nabeba kitanda
Spray za 1500 znapatikana mkoa gani ?Ila vijana wa kiume mna gubu sana chaaa,..mkiombwa nauli mnalia,mkiombwa spray ya buku jero kamasi hizi hapa,.jamanii hadi chumvi roho zinawaruka kama ndondo jikoni lolmnatakaje etii???
BURE GHALI jomoniii,.
Demu mwenye njaa ya kuomba mpaka sukari, chumvi nk huyo hafai kabisa. Demu ni yule anayepiga mizinga ya maana bhanaa.Ila vijana wa kiume mna gubu sana chaaa,..mkiombwa nauli mnalia,mkiombwa spray ya buku jero kamasi hizi hapa,.jamanii hadi chumvi roho zinawaruka kama ndondo jikoni lolmnatakaje etii???
BURE GHALI jomoniii,.
Siuwe unaficha mkuu,Hivi wadau mnawachukuliaje wanawake wanaokuja gheto wakiona sukari, tambi, shati zuri, simu, pafyumu, saa au chochote kizuri wanataka?
Kwani mimi nilonunua sina shida? Wadada punguzeni njaa.
Hata kama mtu alikuwa na mpango nawe anakuacha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmezizidi umri mkuu hapa pita kimya tu ....kuna utoto mwingi mno hapa ....
Eti analilia chunvi na sukari yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikija mie nabeba kitanda
Safi tu, na wewe si unachukua K yake.. Ulitaka upate bure mkuu?Hivi wadau mnawachukuliaje wanawake wanaokuja gheto wakiona sukari, tambi, shati zuri, simu, pafyumu, saa au chochote kizuri wanataka?
Kwani mimi nilonunua sina shida? Wadada punguzeni njaa.
Hata kama mtu alikuwa na mpango nawe anakuacha.
Sent using Jamii Forums mobile app