Wadada poa hivi bado wapo?

Sumu Boy

JF-Expert Member
Feb 16, 2017
205
215
Hawa wadada walikuwa wakikidhi haja kwa vidume wengi maana ukienda ni pesa yako mnamaliza zoezi haina longolongo lakini toka uongozi wa sifa uingie madaraka hii bidhaa imekuwa adimu location zote hawapatikani kama ilivyokuwa mwanzo nadhani na sisi vidume tukiokuwa tunaponea tungeandaa maandamano yetu ili hii product irudi sokoni kama ilivyokuwa mwanzo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa wadada walikuwa wakikidhi haja kwa vidume wengi maana ukienda ni pesa yako mnamaliza zoezi haina longolongo lakini toka uongozi wa sifa uingie madaraka hii bidhaa imekuwa adimu location zote hawapatikani kama ilivyokuwa mwanzo nadhani na sisi vidume tukiokuwa tunaponea tungeandaa maandamano yetu ili hii product irudi sokoni kama ilivyokuwa mwanzo

Sent using Jamii Forums mobile app
Mmeepushwa na kuvunja amri ya Mungu... Mnapaswa kushukuru sana wanaume acheni kujiendekeza kila imani inakataza uzinzi na uasherati.
 
Mbona bidhaa bado iko sokoni tena kina digital na analog uchaguzi ni wako ukae ghetto aje au wewe ufuate

mpuuzi mpuuzi tu
 
Siku hizi ni kimtandao zaidi, mtaani Mamwela wanawabugudhi sana.
 
Hawa wadada walikuwa wakikidhi haja kwa vidume wengi maana ukienda ni pesa yako mnamaliza zoezi haina longolongo lakini toka uongozi wa sifa uingie madaraka hii bidhaa imekuwa adimu location zote hawapatikani kama ilivyokuwa mwanzo nadhani na sisi vidume tukiokuwa tunaponea tungeandaa maandamano yetu ili hii product irudi sokoni kama ilivyokuwa mwanzo

Sent using Jamii Forums mobile app
ungekuwa na shiiida ungetafuta iliko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom