Wadada piten hapa

Wadada piten hapa

Unakuta dada amevaa kimini kimembana anakunywa Safari lager alafu anasema siku hizi hakuna wanaume watulivu, mwanaume mtulivu akifuate wewe? unataka kumharibia utulivu wake?
 
Havikatazwi lakini hasa kuvaa mguu mmoja ndiposa huleta picha tofauti
Niliwai kuambiwa na mama mtu mzima aged 45-9 hivi kuwa hata yy huvaa lakn kwa mguu mmoja ni tafsiri tofauti kwa wanaume!!!
Sio wanaume wote wanaotafsiri hivyo...uvae kimoja au viwili wapo wanaona ni urembo...na naamini asilimia nyingi ya wadada wanaovaa vikuku hawamaniishi hiyo maana unayoisema wewe...tusingeolewa basi kisa tunavaa vikuku
 
Asante kwa meseji nzuri, ila hayo mawazo potofu kuhusu vikuku yatoe mkuu, kuna wanaume wanapenda wanawake zao wavae hivyo kama urembo mwingine na sio kama maana unayoichukulia wewe.
nakubaliana na ww kua wapo wanaovaa kama urembo bt jarbu kuwauliza hata baadhi ya rafiki zako wa kiume wanawachukuliaje wanapowaona kwa mara ya kwanza madem wanaovaa vikuku
naamin kat ya 8 out of 10 watakujibu nilichokwambia
 
Kwa wanaume wa Dar hivyo ulivyoandika vyote ni vigezo vya 'wife material'
dah umenichekesha aisee
huyo atakua anajitengenezea virus wa presha kisukar mwilin mwake
 
dah umenichekesha aisee
huyo atakua anajitengenezea virus wa presha kisukar mwilin mwake
Wa dar wengi wanataka wa namna hiyo mwisho wa siku wanashindwana mapemaa
 
Unaweza ukafanya vyote hivyo na ukaja kuolewa katika late 30s tena kwa kulazimisha sana
 
Kwa taarifa zako viruka njia ndio hawakosagi mabwana the same applied to men . World is not fair.

Alafu mwanamke mtulivu anakuja olewa na kiruka njia na mwanaume hivyo hivyo. Haya mambo bwana hayanaga formular wakati mwingine.

Kuna wife materials nawafahamu hadi natamani ningekuwa me niwaoe, ila viruka njia hivyo vinaolewa just like that yaani daaah!!!
 

Alafu mwanamke mtulivu anakuja olewa na kiruka njia na mwanaume hivyo hivyo. Haya mambo bwana hayanaga formular wakati mwingine.

Kuna wife materials nawafahamu hadi natamani ningekuwa me niwaoe, ila viruka njia hivyo vinaolewa just like that yaani daaah!!!
World is not fair.
Sometimes naonaga bora tu ule neema kuliko kusubiri yasiyokuja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom