Wadada na biashara ya nguo China

Wadada na biashara ya nguo China

Habari zenu wanajamii? Naomba sifa au tabia za wadada wanaofanya biashara ya kununua nguo China na kuuza Hapa nyumbani

Humu ndio tunapotoa tunawauzia Huko na nyie mnanunua .kabla hamjanunua Kwangu au mtu
Mwingine hizi ndio websites based on Los Angeles ,NY na TX. www.alltimetrading.com,www.apparalelshowroom.com,www.clothingshowroom.com,www.offpricefashion.com,.Karibini compare the price .Msikonde
 
hazitofautiani sana na zile za wadada waliokuwa wananunua mashati ya juliana kutoka uganda na kuyaingiza kagera.

Eti eeeh! Wa Kagera waliishia huku!
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    29.5 KB · Views: 137
Humu ndio tunapotoa tunawauzia Huko na nyie mnanunua .kabla hamjanunua Kwangu au mtu
Mwingine hizi ndio websites based on Los Angeles ,NY na TX. www.alltimetrading.com,www.apparalelshowroom.com,www.clothingshowroom.com,www.offpricefashion.com,.Karibini compare the price .Msikonde

I have never understood this muke ya muzungus comments
 
Ni watafutaji including selling their bodies , lakini sio wote!


Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Hata kama watakukubali ujue bei ya kulala Doha tu ni aghali kabla hajabadili Ndege kuingia Ghuanzong
hutaweza mlipia usafiri wa mizigo kwenye container
msubiri tu Dar kama huna Doller au Gold

hilo nalo neno
 
Kuna moja nimeshuhudia akiingizwa pipi za kotosha kwenye tigo akapangishiwa frem eneo zuri tuu akapandishwa pipa kwenda china. Aliporudi karudi na kibegi cha nguo akanunua vitz. Siku hizi ndo kashakubuhu.
 
Kuna moja nimeshuhudia akiingizwa pipi za kotosha kwenye tigo akapangishiwa frem eneo zuri tuu akapandishwa pipa kwenda china. Aliporudi karudi na kibegi cha nguo akanunua vitz. Siku hizi ndo kashakubuhu.
Mkuu huyo alijitoa muanga China wakikukamata wanakunyonga
 
Mchakamchaka chinja, mchakamchaka chinja............. mdogo mdogo napita
 
Kuna moja nimeshuhudia akiingizwa pipi za kotosha kwenye tigo akapangishiwa frem eneo zuri tuu akapandishwa pipa kwenda china. Aliporudi karudi na kibegi cha nguo akanunua vitz. Siku hizi ndo kashakubuhu.
usikute unamzungumzia yule mwenye biashara yake sinza na ni mke wa mbunge fulani siku hizi!
 
Inabidi nifikirie mara mbili kumruhusu demu wangu kufanya hiyo biashara
 
Kama wakifanya biashara halali hawawezi kupata faida. Chukulia nauli ya ndege, accommodation, chakula.......... hiyo itakuwa hasara. Ni lazima wa - suppliment na kuuza miili yao ili wapate chakula, malazi na usafiri bure.
 
Kuna moja nimeshuhudia akiingizwa pipi za kotosha kwenye tigo akapangishiwa frem eneo zuri tuu akapandishwa pipa kwenda china. Aliporudi karudi na kibegi cha nguo akanunua vitz. Siku hizi ndo kashakubuhu.

Mkuu uwezi kuingiza madawa ya kulevya CHINA ukapona i.e bila ya kukamatwa na kitiwa kitanzi FASTA.
 
Kuna moja nimeshuhudia akiingizwa pipi za kotosha kwenye tigo akapangishiwa frem eneo zuri tuu akapandishwa pipa kwenda china. Aliporudi karudi na kibegi cha nguo akanunua vitz. Siku hizi ndo kashakubuhu.

Mmh, kushuhudia hili lazima uwe karibu kweli kweli...
 
Naona michango ya wengi inasisitiza kuwa 'kujiuza' kwa wadada kunawezesha wao kupata mitaji ya biashara ya nguo China! Sasa mbona machangu bado wapo tele barabarani? Au wao bei zao za mafungu ndio maana hazilipi?
 
Naona michango ya wengi inasisitiza kuwa 'kujiuza' kwa wadada kunawezesha wao kupata mitaji ya biashara ya nguo China! Sasa mbona machangu bado wapo tele barabarani? Au wao bei zao za mafungu ndio maana hazilipi?
Mtaji mkuu lazima uwe na at least 10 mil shs kuanzia. Unafikiria machangu wanaweza labda profession hookers
 
Back
Top Bottom