Wadada na biashara ya nguo China

Wadada na biashara ya nguo China

Hivi mpaka karne hii ya 21 bado watu wanahoji uwezo wa wanawake? Nadhani kunatatizo la kukaa madarasani bila kuelimika. Wanawake wasichoweza kufanya vizuri ni ukuli wa kubeba magunia kupandisha kwenye basi za zamani. Kama kazi inahitaji kutumia ubongo wanaweza sana.
Hivi matokeo ya mitihani kwa Dr. Ndalichako hamyasikii au mmegoma? Mama Ndalichako mwenyewe mwaka huu ameweza jambo ambalo mabosi wanaume liliwashinda la kuzuia mitihani isivuje sembuse biashara ya kununua na kuuza. Wanaweza na wanamitaji na wanaaadabu ya hela tofauti ya wenzangu mimi. Kama unabisha nenda kwenye mabenk wanakochukua mikopo ukaone kuna nini? Ni wakopaji wazuri tofauti na wenzangu na mimi.
 
Mmh, kushuhudia hili lazima uwe karibu kweli kweli...

Siku hiyo niliitwa kwa pedeshee flani nikamsaidie kuzipanua tigo za mbinti flani ambao walikuwa na safari ya kwenda china. Nakumbuka dudu langu lililowa mavi ya kutosha.
 
Jamani jamani china ni kiboko bana kwa wadada wetu wengi wao wakifika kule kama atakaa two weeks ujue anauza uchi kwanza kwa dolale alafu ndo afungashe ka mzigo ka kuja dar kuzugia wengi sana wapo wale wauza vifaa vya sim kkoo wapo walio amua kuhamia huko wamenogewa na uchangu.
 
Back
Top Bottom