Wadada: Mtunusuru na hizi picha zenu huko mitandaoni

Wadada: Mtunusuru na hizi picha zenu huko mitandaoni

Ahaaa bora die vimisi, tunapambana na hali zetu,
Sasa wacha tumalize utata Fanya kuweka hapa picha yako, usiweke sura ifiche, nikutathimini ulivyo, nione je ningekuwa mm sasa ndo nakufata ingekuwaje?
 
Tatizo la vijana kutojua kufanya upembuzi yakinifu.sasa wewe na teknolojia zote zilizopo unauziwaje mbuzi kwenye gunia?.
 
Nikionaga malalamiko haya nakumbuka uzi ndugu yetu Siasa Basi....[emoji16][emoji16][emoji3]
 
niliwahi mtongoza msichana usiku mvaa hijab kumbe ni bibi sawa na bibiyangu magomeni mtaa wa Idrisa ilikuwa usiku, kesho yake nikamvizia tena usiku, kesho kutwa yake tukakuta tena kwenye yale matairi usiku, siku iliyofuata nikanunua ndom kabisa basi ndio siku gari ilipommulika usoni kumbe hata meno ya mbele hana, maskini mimi, nilitoka mbio..ilikuwa 1998
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Na nategemea hapo kwenye avatar utakuwa hivyohivyo
228930.jpg
 
Ahahaha mkuu sasa kilichokushangaza ni kuonana nae bonge na kavaa mlegezo yaan navuta picha atakuwa kama tomboy pole sana lakini sisi vibonge usitutenge jaman
 
niliwahi mtongoza msichana usiku mvaa hijab kumbe ni bibi sawa na bibiyangu magomeni mtaa wa Idrisa ilikuwa usiku, kesho yake nikamvizia tena usiku, kesho kutwa yake tukakuta tena kwenye yale matairi usiku, siku iliyofuata nikanunua ndom kabisa basi ndio siku gari ilipommulika usoni kumbe hata meno ya mbele hana, maskini mimi, nilitoka mbio..ilikuwa 1998
Kweli mkuu siku zote hizo unaongea nae hukujua kabisa kwamba hana meno ya mbele? Maana mtu asiyekuwa na meno akiongea tu utajua. Pole sana ila mh nahisi kama hili la meno ya mbele umetupiga Kamba.
 
Back
Top Bottom