Wadada msipende kulamba koni, hamtoolewa kamwe

Wadada msipende kulamba koni, hamtoolewa kamwe

Babumawe

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2014
Posts
2,585
Reaction score
2,666
Jamani dada zetu eeh leo ngoja tuwaambie, kwanza kuolewa ni heshima sana na ukimuona mtu anakuoa kwanza kakueshimu sana kama mlikuwa hamjui.

Sasa basi sisi wanaume tunamuogopa sana mwanamke anaependa kutupia uume kinywani, yaani umepigwa pipe mbili tatu mara unaushika mkuyenge unautupia kwenye kinywa ama kwa lugha rahisi unaunyonya.

Wengi mwanamke wa aina hii kamwe hatuwezi kumfanya kuwa mke. Kwanza tunajiuliza kama huyu anainyonya hii koni kiasi hiki hivi atakuwa amezinyonya ngapi? Wapi atakuwa amejifunza? Tunahitimisha kwa kukuona wewe hufai kuheshiniwa na kufanywa mke.

Hivyo basi dada zetu acheni kujifanya eti mna maujuzi kumridhisha mtu, hapana huwa unaonekana whore tu hufai kuwekwa ndani hivyo basi mtakuwa mtaishia kucheza kwaito kwenye harusi za wenzenu.
 
Usichopenda wewe kuna mwenzio anakipenda, tukubali tu kuwa choice zetu haziwezi kufanana mkuu. Kama ya mume wangu ile kofia ya kichwa chake kilivyokaa na kubinjuka vile huna cha kunambia niache kuimba nayo aisee.
 
Kiukweli wanaume imefika mahala tumewachoka, mahitaji yenu na malalamiko yamekuwa mengi sana aiseeeh'..!
Bora sisi imeshajulikana pesa, pesa, pesa na machine, ninyi hivi mnataka nini sasa wajameni.??
 
Kiukweli wanaume imefika mahala tumewachoka, mahitaji yenu na malalamiko yamekuwa mengi sana aiseeeh'..!
Bora sisi imeshajulikana pesa, pesa, pesa na machine, ninyi hivi mnataka nini sasa wajameni.??
Tofautisha kati ya wanaume na wavulana. Huwezi kukuta mwanaume anaandika utopolo kama huu; na sina uhakika kama huyu hata utamu wa hako kamchezo anaujua sawasawa. Ukutane na binti anayejua kucheza na maiki na hana hata kinyaa mbona hata Kibarbaig waweza kiongea tena bila kufundishwa?
 
Nina watoto zangu watano wanawake wanne, watatu nimewaacha kama single mama.

Ila kuna mwanamke mmoja aliwahi tulaumu kwenye group letu kuwa tunashindwa nini kuwazalisha vya kutosha, anasema angekuwa mwanaume angewazalisha wanawake wengi sana. Tukamuuliza yeye kama mwanamke ana watoto wangapi akajibu mmoja na kututupia lawama tu lakini sisi ndio wenye shida hatutaki kuwazalisha.

Baada ya maneno hayo nawaza hawa single mama wanapenda kuishi hivyo au shida ni sisi. Jibu ni ndio wanapenda kubakia hivyo wasiolewe lakini raha ya dunia waipate tu. Mtoa mada siku hizi haitafutwi ndoa inatafutwa starehe tu.
 
Back
Top Bottom