Wadada mnaokunywa balimi mnajiabisha

Wadada mnaokunywa balimi mnajiabisha

Japo life ngumu lakini hii imekua too much

Nimezunguka viwanja vingi hii imenishtua sana.Yaani sikuizi wadada tena warembo kabisa wanafakamia balimi balaa.

Kiukweli mdada mrembo unatolewa out yaani unaishia kupigishwa balimi huku ni kujishusha thamani sana.

Ebu kunyweni pombe zenye hadhi na za heshima bana.Unakuta mdada mrembo walaini kabida anakata balimi,safari,konyagi bapa balaa

Nanyinyi vidume kama unamtoa out mdada mrembo halafu waleti yako haisomi bola upotezee tu

Nilishangaa sana nilipoana njema zipo na wadada warembo afu meza imetapakaa balimi yaani jumla ya balimi zote hata elfu kumi hazifiki,afu njema zinakenua tu nakufurahi tu kweli?

Kwakweli sijaipenda,

Usije mjini
kinachokuuma nnn kunywa bia au kutaman mademu alokua nao. Huo ni ushooga ndg acha kabisa
 
hahahaahah, sio siri, hata mie "mmbeya" wa kujitegemea huwa nikienda viwanja siku hizi nashangaa kuona warembo tena wamejipodoa wanaagiza balimi, hahahahahha. Naungana mtoa post, hata mie huwa ninashangaa. Yale ni mapombe ya kiume, wanawake tunapendeza mezani zionekane bia ambazo asilimia za vileo hazizidi 4.5
Ebu ionje hiyo balimi ndiyo utajua habari,usiandikie mate ingali wino upo.Hujiulizi tu kwanini hiyo bia imepata washabiki wengi ghafla?By the way bia ni bia tu midamu mnywaji anaridhika nayo.
 
Lengo kuu la kunywa pombe ni Kulewa mengine yote ni mbwembwe.Kunywa pombe yoyote ile sharti utimize adhma ya kulewa.Mleta post tuheshimiane.
 
Ni bora aetumua balimi huku anajenga au anafanya miradi mikubwa kuliko ww unaokunywa henken kwa hela za baba, au za kwako iliahali unajua fikra fao la kujitoa limefutwa!
 
HUKO MKOA WA SINGIDA KUNA SENATOR, EAGLE BEI 1000 NA WATU WANAPIGA KWA KWENDA MBELE
 
Japo life ngumu lakini hii imekua too much

Nimezunguka viwanja vingi hii imenishtua sana.Yaani sikuizi wadada tena warembo kabisa wanafakamia balimi balaa.

Kiukweli mdada mrembo unatolewa out yaani unaishia kupigishwa balimi huku ni kujishusha thamani sana.

Ebu kunyweni pombe zenye hadhi na za heshima bana.Unakuta mdada mrembo walaini kabida anakata balimi,safari,konyagi bapa balaa

Nanyinyi vidume kama unamtoa out mdada mrembo halafu waleti yako haisomi bola upotezee tu

Nilishangaa sana nilipoana njema zipo na wadada warembo afu meza imetapakaa balimi yaani jumla ya balimi zote hata elfu kumi hazifiki,afu njema zinakenua tu nakufurahi tu kweli?

Kwakweli sijaipenda,

Usije mjini

Acha kuwapangia watu maisha kama ukiwakuta wanakunywa balimi kwanini usiwaoonee huruma uwanunulie castle au hata wine
 
Usilazimishe kumaliza hela kwa show off mkuu. Ukiendekeza kusema wanawake wana hadhi zao utashindwa hata kumiliki sub woofer. Kwanza jamaa kajitahid hapo alipaswa kununua kandoro tu
 
Japo life ngumu lakini hii imekua too much

Nimezunguka viwanja vingi hii imenishtua sana.Yaani sikuizi wadada tena warembo kabisa wanafakamia balimi balaa.

Kiukweli mdada mrembo unatolewa out yaani unaishia kupigishwa balimi huku ni kujishusha thamani sana.

Ebu kunyweni pombe zenye hadhi na za heshima bana.Unakuta mdada mrembo walaini kabida anakata balimi,safari,konyagi bapa balaa

Nanyinyi vidume kama unamtoa out mdada mrembo halafu waleti yako haisomi bola upotezee tu

Nilishangaa sana nilipoana njema zipo na wadada warembo afu meza imetapakaa balimi yaani jumla ya balimi zote hata elfu kumi hazifiki,afu njema zinakenua tu nakufurahi tu kweli?

Kwakweli sijaipenda,

Usije mjini

Na bado ,,,,,,watahamia kwenye gongo soon ,,,,mkuu kaza zaidi ile kamba,
 
We wa kwako ukimtoa out mnunulie dompo sie wakwetu wanajua hali halisi ndo maana tunagawana kidogo tukipatacho(balimi&bapa)
 
Nimekuelwa Markomx, na ulichoandika hata mie nimekuwa nikiwashangaa, hata visichana vya SAUT navyo ukienda maeneo ya kule Nyegezi utavikuta vinakunywa Balimi ndogo!!!! tuko pamoja kwa hili mwanzo mwisho wanashangaza sana.
Mkuu mbna unawatukana wanafunzi wangu?
 
Back
Top Bottom