Wadada mnaokunywa balimi mnajiabisha

Wadada mnaokunywa balimi mnajiabisha

Wapi ilikobandikwa nembo iliyoandikwa for men only? Mbona mnapenda kuwadanganya watu? Kwa hiyo mtoto wa kike akinywa bia ya buku anageuka kuwa w kiume? Kama wewe unapenda kuwanywesha mademu togwa sisi tunawanywesha bia na hawabadiki urembo wao unabaki palepale

Mwanamke kujithamini bana,
 
Mkuu unataka wanywe nini desperados? waache wanywe hizo senator na Balimi labda ndiyo wanazopenda.
 
Mkuu unataka wanywe nini desperados? waache wanywe hizo senator na Balimi labda ndiyo wanazopenda.

Ata castle,kili sio mbaya.Sasa eagle,balimi duu inaonekana msichana ni level ya chini sana.labda unywe nyumban kwako ila sio unaingia viwanja vikali mkuu afu anavuta balimi.
 
Walevi kazini.....ngoja wengine tupite hiviiii
 
Hivi mnawaongelea warembo wa ukanda wa ziwa kama sijakosea?
 
Balimi iko vizuri sana wandugu.
Kwanza ina ladha murua sana.
Pili ni affordable.
Tatu ni kitu ya nyumbani
Mengine wataongezea.
 
Back
Top Bottom