- Thread starter
- #61
Wapi ilikobandikwa nembo iliyoandikwa for men only? Mbona mnapenda kuwadanganya watu? Kwa hiyo mtoto wa kike akinywa bia ya buku anageuka kuwa w kiume? Kama wewe unapenda kuwanywesha mademu togwa sisi tunawanywesha bia na hawabadiki urembo wao unabaki palepale
Mwanamke kujithamini bana,

