Wadada mnaokunywa balimi mnajiabisha

Wadada mnaokunywa balimi mnajiabisha

Mkuu kunywa kinywaji fulani hakukufanyi uonekane classic. Kwanini nifakamie absolute vodka au savanna nitapike wakati nikinywa safari ndo naenjoy??. Mimi kama sijakuzoea ndo ntapiga cocktail ila tukizoeana ni mwendo wa safari tu na naipenda kiukweli.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Japo life ngumu lakini hii imekua too much

Nimezunguka viwanja vingi hii imenishtua sana.Yaani sikuizi wadada tena warembo kabisa wanafakamia balimi balaa.

Kiukweli mdada mrembo unatolewa out yaani unaishia kupigishwa balimi huku ni kujishusha thamani sana.

Ebu kunyweni pombe zenye hadhi na za heshima bana.Unakuta mdada mrembo walaini kabida anakata balimi,safari,konyagi bapa balaa

Nanyinyi vidume kama unamtoa out mdada mrembo halafu waleti yako haisomi bola upotezee tu

Nilishangaa sana nilipoana njema zipo na wadada warembo afu meza imetapakaa balimi yaani jumla ya balimi zote hata elfu kumi hazifiki,afu njema zinakenua tu nakufurahi tu kweli?

Kwakweli sijaipenda,

Usije mjini
Hiyo Balimi Tu Unablame Kula Bata Ni Urefu wa Kamba Yako Je Ungewakuta Wanapiga Chibuku
 
Balimi,eagle,konyagi hizi ni pombe za kiume mkuu,ni bia kali sana afu kwa buku buku au buku jero,mtoto wa kike anathamani yake bana
Ww unaumia nn? Unawezaje kwenda bar unaanza kuangalia mademu wa wenzako? Huo ni udhaifu aisee, balimi ni kinywaji rahisi pia huwezi kujua mfuko wa mtu, mtu katoka na mpnz wake labda anajua mfuko wa mtu wake hauko poa. Ww km unauwezo wa windock jaribu kutumia hekima na kuangalia yako.

Ww ndio walewale inaelekea, za kushinda bar.
 
hakuna bia ya kiume wala yakike sikuhizi bia zenyewe hata hazija poa ziko mtaani zinakuaje kali sasa watu wanagida tu kama soda
 
Kujifanya Malawi ya juu ni ushamba acha mtu anywe anachotaka hayo ni ulimbukeni
 
Haiitwi balimi hebu ipe hishima yake ni balimi extra larger
 
Mm mlokole lkn hii ni too much danganya watu.
"Nilishangaa sana nilipoana njema zipo na wadada warembo afu meza imetapakaa!!! balimi yaani jumla ya balimi zote hata elfu kumi hazifiki"
 
Maeneo haya ya kupenda sifa ndio watu wanatofautiana.Waafrika wengi tunapenda maisha artificial na ya kujikweza kwa visingizio vyovyote. Ni kwa muktadha huo ndio mtumiaji wa kitu cha bei kubwa anaonekana wa thamani kuliko mwingine hata kama kitu kina hadhi ile ile!!! Linapokuja suala la uwezo na kuishi maisha halisi watu wanatofautiana!!!Muhimu ni kuacha kila mtu afanye pale anapoweza bila mishangao ya wengine. Hii ni topic mtambuka!mfano, mivinyo ikiwa na kilevi kidogo labda ni 7.5% ilhali balimi ni 5.8%,kujua kwa nini mvinyo unaonekana na ladha laini na balimi inaonekana nzito hiyo ni chemistry ingine...!!!Muhimu tuache watu wafanye wapendavyo il mradi wapate furaha na Zaidi wasiharibu afya(kwa kuzidisha kiwango)
 
Back
Top Bottom