wadada mmezidi sasa, khaa!

Mbona thread za wakaka kulalamika leo zimekuwa nyingi

shida na matatizo yamewajaa! mambo yao yangekuwa safi wasingelialia.!!! mie naona strategy yetu ya kuwakimbiza kwa vibomu imefaulu. wanatoka nduki wenyewe mpaka wanataka kujikwaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…