Haramu kitokacho huh?Kiingiacho mjini si haram.
Kikienda kijijini toka mjini watakiita haram.Haramu kitokacho huh?
We ukija huku chanika ndo utakoma naoKavaa chupi tu halafu analivuta kwa mbele huku kama ana chura basi balaa tupu aisee
Sasa mimi nitajuaje...basi wawe wanatembea huku wanasema 'nina suruali ndani' ili wasitupotezee muda wa kukodoa macho sisi.Ni suruali ndani n wala si ngozi
Wambie tunaziacha zipumuee..Wadada mbona tunalo mwaka huu!! Na uishe tu.
Wadada mbona tunalo mwaka huu!! Na uishe tu.