wadada kueni makini na sim zenu yani mnakera

wadada kueni makini na sim zenu yani mnakera

habari zenu wana jf,kwamara nyingine napenda kushea jambo lingine na nyie kuhusu jambo lililo nikera nakuniuthi sana leo,ni dada mmoja wajirani na nyumbani kweli hua naeshimiana nae sana napia nataniana nae sana kama rafki yangu wakawaida leo aliniletea cm yake ili nimchajie baadae akaja kuichukua akaondoka alikaa uko kwao mda kidogo alirudi apa dukani akaniambia mbona cm yangu ilikua na mia5 saivi ina shing25? Nkamwambia misjui jekama umekatwa na mtandao ntajuaje? Apo alikataa mpaka nikakereka kiukweli sikuamisha salio lake Mungu shaidi ukizingatia mtoto mwenyewe ni mzur na nlikua nampango wakumtongoza,yani nlishangaa sana na mipango yangu ikafia apo apo kwajinsi nlivyochukia nlimpenda uyo dada lakini basi2 kisichosiziki akiliki.nani yamewahi kumkuta kama haya?

Ndio ushaharibu kudadadeki.,humpati tena..,by the way usisumbue kichwa sana, demu ambaye hana hata sehemu ya kuchajia simu hana nae anakusumbua?
 
Wewe ni mtuhumiwa wa kuiba vocha kwani kutuhumiwa ni kosa au kama kaibiwa unamuondolea haki ya kukutuhumu kathibitishe mahakamani kuwa hukuiba na si hapa!
 
sa si unataka tufanyaje........mbona wakati anakuachia sim umchajie hukutushirikisha

huyu jamaa majanga kweli...yaani ikifikia hatua mtu anakuhisi unaweza kuiba sh 500 kwenye simu ujue una matatizo....
 
huyu jamaa majanga kweli...yaani ikifikia hatua mtu anakuhisi unaweza kuiba sh 500 kwenye simu ujue una matatizo....

kama sio kavurugwa kabisaa....

Lazy mate nakumiss sana...siku hizi husomeki kabisa
 
habari zenu wana jf,kwamara nyingine napenda kushea jambo lingine na nyie kuhusu jambo lililo nikera nakuniuthi sana leo,ni dada mmoja wajirani na nyumbani kweli hua naeshimiana nae sana napia nataniana nae sana kama rafki yangu wakawaida leo aliniletea cm yake ili nimchajie baadae akaja kuichukua akaondoka alikaa uko kwao mda kidogo alirudi apa dukani akaniambia mbona cm yangu ilikua na mia5 saivi ina shing25? Nkamwambia misjui jekama umekatwa na mtandao ntajuaje? Apo alikataa mpaka nikakereka kiukweli sikuamisha salio lake Mungu shaidi ukizingatia mtoto mwenyewe ni mzur na nlikua nampango wakumtongoza,yani nlishangaa sana na mipango yangu ikafia apo apo kwajinsi nlivyochukia nlimpenda uyo dada lakini basi2 kisichosiziki akiliki.nani yamewahi kumkuta kama haya?

mimi yamenikuta aisee.. hivyohivyo

nimegundua!!!!

hii ni mbinu mpya ya kumkataa mwanaume!!

just kisingizio fulani tu ili msiwe na mazungumzo!

alishaona dalili ya kutongozwa wakati yeye hapendezwi na wewe!!

yahaya eeeeehhh!!!
 
Size yako kabisa huyo..
yani salio la 500 tu analalama hivyo!!
na wewe 500 tu unakuja mpaka huku???
 
ha ha ha ha ha mia tano!!!?? ndo unalalamikia mpaka hapa MMU? pole sana.

He! kumbe mimi ninayeweka vocha ya elfu kumi kisha najiunga na cheka ya mwezi mzima ni milionea eeeeh!
 
Penye Udhia Penyeza RUPIA Mangi khaaaa, umetoka lini Rombo hata hujui kanuni za kuishi mjini na TOTOZ?
 
wewe ulimpenda huyu dada,yeye kakutolea nje ndio unatafuta kisingizio.

Nalog off
 
Last edited by a moderator:
watu8 acha umbea ata nkikwambia nafanya kazi flan hutaniamin kwaiyo kausha babu...!

Hahaha utakuwa umejambwa wewe si bure...sasa kati yangu mi na wewe nani mmbea...hebu rudia kuisoma sredi yako neno kwa neno.
Hahah eti wabwabwaja kuombwa mia tano tu...khaaa
 
We Muuza duka kweli kiazi, yaani stori za kucharge simu ndio unatuletea hapa......
Advance kwani mumeshafunga shule?
 
aaaaase massawe chesa na mke wangu, usichese na besa yangu ati
 
Back
Top Bottom