ha ha ha ha ha mia tano!!!?? ndo unalalamikia mpaka hapa MMU? pole sana.
unacharge simu!! pole sana
sa si unataka tufanyaje........mbona wakati anakuachia sim umchajie hukutushirikisha
hata nami nashanga !!!! bestito kwenda kumchajia simu huyo binti alikuw yeye na yeye halafu anakuja kulalama hapa kwani si yatuhuuuuuuu!
mdida we ndo ujui kabisa stori inaelezea nini ebu acha umbulula soma habari vizuri c kukonenti2 kikuda
Hivi JF haina Mwalimu wa kiswahili?habari zenu wana jf,kwamara nyingine napenda kushea jambo lingine na nyie kuhusu jambo lililo nikera nakuniuthi sana leo,ni dada mmoja wajirani na nyumbani kweli hua naeshimiana nae sana napia nataniana nae sana kama rafki yangu wakawaida leo aliniletea cm yake ili nimchajie baadae akaja kuichukua akaondoka alikaa uko kwao mda kidogo alirudi apa dukani akaniambia mbona cm yangu ilikua na mia5 saivi ina shing25? Nkamwambia misjui jekama umekatwa na mtandao ntajuaje? Apo alikataa mpaka nikakereka kiukweli sikuamisha salio lake Mungu shaidi ukizingatia mtoto mwenyewe ni mzur na nlikua nampango wakumtongoza,yani nlishangaa sana na mipango yangu ikafia apo apo kwajinsi nlivyochukia nlimpenda uyo dada lakini basi2 kisichosiziki akiliki.nani yamewahi kumkuta kama haya?
habari zenu wana jf,kwamara nyingine napenda kushea jambo lingine na nyie kuhusu jambo lililo nikera nakuniuthi sana leo,ni dada mmoja wajirani na nyumbani kweli hua naeshimiana nae sana napia nataniana nae sana kama rafki yangu wakawaida leo aliniletea cm yake ili nimchajie baadae akaja kuichukua akaondoka alikaa uko kwao mda kidogo alirudi apa dukani akaniambia mbona cm yangu ilikua na mia5 saivi ina shing25? Nkamwambia misjui jekama umekatwa na mtandao ntajuaje? Apo alikataa mpaka nikakereka kiukweli sikuamisha salio lake Mungu shaidi ukizingatia mtoto mwenyewe ni mzur na nlikua nampango wakumtongoza,yani nlishangaa sana na mipango yangu ikafia apo apo kwajinsi nlivyochukia nlimpenda uyo dada lakini basi2 kisichosiziki akiliki.nani yamewahi kumkuta kama haya?