Avoid plagiarism mkuu, hii story iko kwa Sintah blog, acknowledge the source sio kusema 'blog flan' tu, asante
discuss hoja acha izo kdume ww,hoja kama iz nzamsing sana watu wabadilike sikilasiku breakup
Avoid plagiarism mkuu, hii story iko kwa Sintah blog, acknowledge the source sio kusema 'blog flan' tu, asante
tumekusikia kusikia jomba watalifanyia kazi sababu HAINIHUSU shem wako nsipompa invoice huwa hana hana imani kabisa kwa kujua kuna watu wanamsaidia.
Na hapa kuna invoice anatakiwa ado the needful at the end of this month 1.7m yaani hapa nafikiria invoice ijayo nikujumlishe at least uache lalamika lmao!!!
Tatizo mnavaa viatu size za wajomba zenu matokeo yake vinawapwaya kazi kamshahara kaduchu,matatizo kibao mwanamke unayemtaka mkali balaa nawe unakomaa ili uonekane unamtoto mzuri mjini matokeo yake ndo hayo nadhani ungekuwa na kaundime yasingekukuta haya yaote.
Poleni wanaume jamani mutafute size yenu musife kingereza kufa na tai shingoni.
Nowadays hata ukiwa na girl rafiki tu wa kawaida, unapigwa mizinga, mabomu, risasi na mishale!!
Hilo limekuwa kama jambo lililohalalishwa katika dunia hii ya utandawazi!
Mimi siku hizi natafuta mamazao hivi vitoto vya miaka 20 mpaka 35 shida tupu.tafuta mama miaka 45,50 hivi hao wametulia
Hizo za mapedeshee zinakuaga tamu, ila mwisho wake sasa ndo mtafutano.
eeee sikujua kama pedeshee duuu kweli umaskini mkali sana Tza hata yeye pedeshee
Nadhani wakisoma huu uzi wataelewa.mi kuna mmoja nilimwambia ninahitaji kuzungumza nawe baada ya siku tatu kutoka leo,basi siku ya pili akaniambia nimuazime laki 2,sasa nikajiuliza kama nayaka papuch hii ndio bei yake? Nikipata papuch siwezi mdai pesa yangu,je akininyima? Itakua imekula kwangu? Hadi leo tukikutana ananiambia lini utanitafuta,namwambia usikonde mtu wangu.kumbe ndo imetoka hiyo.wanawake they are beautiful by far but,they are far from beautiful.
Avoid plagiarism mkuu, hii story iko kwa Sintah blog, acknowledge the source sio kusema 'blog flan' tu, asante
Avoid plagiarism mkuu, hii story iko kwa Sintah blog, acknowledge the source sio kusema 'blog flan' tu, asante
jamani ujue kuna wanaume wengine kazi wanayoijua kuchomeka tu mtu anakaa lets say kinondoni mdada anakaa mbezi kimara tena makabe anatoka kwao mpaka stand mbezi kubwa na bodaboda 1500 au 2000 stand mbezi daladala za mwenge 500 kutoka pale mpaka huko 400.
Jumlisha hapo hiyo kwenda tu na baada ya hapo mjamaa hata kumtoa nauli tu hakuna khaaa acheni tu mshikwe mkwide tena ukiwakuta waliojichokea anakupiga kabisa hapa Tyta atansaidia kuweka picha.
Jamani mjue hata sie tuna service zetu kwa hiyo mjitahidi kutafuta hela hata kama mwanamke anahela na ana kazi nzuri asikuambie hela ya mwanaume tamu na unajisikia unapendwa na ukajaliwa we mpe tu hata ndogo mpe tena mpe usisubiri akuombe.
Na sie binadamu jamani tunaridhika.
Lakini ukiwa mkavu sana aaaa unaboa hata stimu inakata.
Kama anakuomba sana jiulize ulianzaje nae labda ulianza kwa mashauzi sana au ulimpatia kwa pesa.
Mwanaume mwenye hela ananoga jamani plus umkute kajaaliwa maumbo afu anajua shughuli yake ha ha humkinai jamani ngoja niwaamshe miss chagga Heaven on Earth lara 1 akitoka jela atakuja miss strong waje wansaidie labda mtaelewa darsa cc Paloma