Aisee mkuu waweza ahirisha shughuli za kutafuta mkate wa kila siku kabisa yaani leo nimeogopa sana ile poda aiseMake up zipo classified kulingana na uwezo
Kuna make up flan za kishua demu akiwa classic na akipata mrembaji nzuri oooh my God million si pesa utampa bure
Ila back to uswazi ***** carolite na poda jini maimuna mademu hawa nikikutana naye asubuh akanisalimia narudi ghetto kulala siku imeshaharibiwa hiyo
Aaah mkuu kama hata majirani hawakumwambia kwenye daladala nako hajaambiwa? Kama siyo mtukutu basi ni ana tatizo usije ukaoga matusi mbele za watu wa heshima bure!Haahahahaha si ungemwambia jamani wengine tunafurahi tukiambiwa jamani hahahahah!!!
Aisee mkuu!Tatizo wengine wakipiga kitu cha chemical toka kongo hawajui kwamba kinareact na poda hivyo rangi ya poda na ubora unapotea so Haipendezi kama alivyoona kwa wengine
Aisee Mkuu, kumbe hao wazanzibari nao ndo walewale full majivu usoni?ha ha ha
unanikumbusha make up za mademu wakinzanzibar
ni noma mzee araf wenywe wanajiona wamependeza full mishauo ukiwakuta harusini
nina wasisi atakuwa ni mnzanzibar huyo mana ndo zao kujikoboa usoni ka VINYAGO
Kwani kakwambia kakupakia poda wewe?Kwa Muda mrefu nimekua nikiwavumilia sana na hizi poda zao, yaani unakuta mdada kapaka poda mpaka unashangaa huyu hakuwa na kioo ajione alivotoka? Yaani hana hata urafiki na majirani angalau wangemwambia akazipunguze tu basi?
Leo nimesikitika zaidi na naandika huu uzi kwa mfadhaiko sana nilipokutana na mdada kapaka poda kama Maiti!!!! walahi mnaweza cheka lakini kwa poda ile jamani hapana unaweza kuota usiku hasa kama uliyekutana naye anafanana na ndugu/rafiki ambaye unamfahamu na kwa bahati mbaya akatutoka!
Sasa wadada jamani msidhani wanaume wanazipenda hizo poda na wala msidhani mnavutia saaana mkipaka, sanasana mnaongeza joto tu hapa mjini!
Kitu kingine ni hizo lipstick!
Jamani give us a break tuna vitu vingi tu vya kushangaa yaani unakuta eti ndo kumechisha wigi, lipstick, wanja, kucha, hadi nyusi?
Aaah jamani HAMPENDEZI kuweni tu original and simpe i swear mtapendeza sana
Message Sent na yaweza kuwa delivered pia maana yule niliyekutana naye anaonekana mjanja tu siamini kama hayupo humu jf !
Hujajibu swali nililokuuliza.Tunajua hampendi kuambiwa ukweli lakini hakuna namna sasa lazima tuseme tu!
teh teh hii kitu nilifikiri naonaga peke yangu kumbe tupo wengi. mkuu jiandae usiku wa leo mademu wa kizanzibar lazima wakuletee popo bawa!!!ha ha ha
unanikumbusha make up za mademu wakinzanzibar
ni noma mzee araf wenywe wanajiona wamependeza full mishauo ukiwakuta harusini
nina wasisi atakuwa ni mnzanzibar huyo mana ndo zao kujikoboa usoni ka VINYAGO
Kuharibiwa siku nn.... [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] Mie napakaga unga wa nganoKuna make up flan za kishua demu akiwa classic na akipata mrembaji mzuri oooh my God million si pesa utampa bure venye anang'aa
Ila back to uswazi ***** carolite na poda jini maimuna demu kama huyu nikikutana naye asubuh akanisalimia narudi ghetto kulala siku imeshaharibiwa hiyo