flood
Senior Member
- Jul 10, 2017
- 131
- 202
Kweli sijui huwa mnakuwa na nini baadhi ya wadada, uzungu mwingi utawaponza na tamaa. Kweli hela ni tamu lakini ukiitafuta kwa jasho lako na kama niyakupewa bure basi usigeuze ni haki yako.
Haiwezekani tumekuwa marafiki then uniombe hela ya saloon nikikuambia sina unaniblock then baadae unajiona mjinga unaunblock. Hivi nikikutongoza na kufake love na uchumba fake utanilaumu ikiwa wewe ulitanguliza maslahi.
Mnatufanya tusiwahurumie kuwaambia ukweli kuwa tuna familia zetu sababu ya tamaa zenu za kijinga. TShs 20,000 ya salon si ya kuuza utu wako, mzuri ni mzuri tuu.
Haiwezekani tumekuwa marafiki then uniombe hela ya saloon nikikuambia sina unaniblock then baadae unajiona mjinga unaunblock. Hivi nikikutongoza na kufake love na uchumba fake utanilaumu ikiwa wewe ulitanguliza maslahi.
Mnatufanya tusiwahurumie kuwaambia ukweli kuwa tuna familia zetu sababu ya tamaa zenu za kijinga. TShs 20,000 ya salon si ya kuuza utu wako, mzuri ni mzuri tuu.
