Maalim Jumar
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,259
- 117
Habari JF!
Wanajamvi msaidieni hiyu ndugu yetu!
Amenieleza kwa urefu shida yake kuhusu dada mmoja ambae anachukua degree yake chuo kimoja humu Tanzania.
Mambo yao yalikua kama hivi:
Dada alimthibitishia lazima ataolewa nae kwa kua hana jamaa mwengine kwa muda huo. Hivyo alimuonesha dhahir shahiri kua yupo nae karibu kwa muda wowote. Hali hiyo ilimfanya jamaa ajihakikishie amepata mwenza wake.
Sasa ikatokea dada akasafiri kwenda mkoa mwingine. Hapo ndipo mashaka kwa jamaa yalipomuanzia...ikawa akipiga simu haipatikani,sms akituma hazijibiwi...hata ule ukaribu ulokuepo umekua hakuna.
Jamaa akaona amueleze ukweli kua yeye na huyo binti iwe mwisho lakin binti hakukubali...akamjibu asiwe na hasira.
Lakini mambo ndio hayo hayo...na hapo mwanzo jamaa alikua anahudumia gharama za hapa na pale...sasa jamaa amemshitukia hata ile misaada amezuia ..anahofu isiwe anakamuliwa huku mwenye mali rasmi yupo.
Je amvumilie huyo dada au aachane nae.
Nawakilisha kwenu. Tupate mawazo yenu!
Wanajamvi msaidieni hiyu ndugu yetu!
Amenieleza kwa urefu shida yake kuhusu dada mmoja ambae anachukua degree yake chuo kimoja humu Tanzania.
Mambo yao yalikua kama hivi:
Dada alimthibitishia lazima ataolewa nae kwa kua hana jamaa mwengine kwa muda huo. Hivyo alimuonesha dhahir shahiri kua yupo nae karibu kwa muda wowote. Hali hiyo ilimfanya jamaa ajihakikishie amepata mwenza wake.
Sasa ikatokea dada akasafiri kwenda mkoa mwingine. Hapo ndipo mashaka kwa jamaa yalipomuanzia...ikawa akipiga simu haipatikani,sms akituma hazijibiwi...hata ule ukaribu ulokuepo umekua hakuna.
Jamaa akaona amueleze ukweli kua yeye na huyo binti iwe mwisho lakin binti hakukubali...akamjibu asiwe na hasira.
Lakini mambo ndio hayo hayo...na hapo mwanzo jamaa alikua anahudumia gharama za hapa na pale...sasa jamaa amemshitukia hata ile misaada amezuia ..anahofu isiwe anakamuliwa huku mwenye mali rasmi yupo.
Je amvumilie huyo dada au aachane nae.
Nawakilisha kwenu. Tupate mawazo yenu!