Zipuwawa
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 3,051
- 653
Mara nyingi msema kweli ni mpenzi wa Mungu leo nimeona niseme hili ambalo kwangu huwa linanikera hata kama wewe sikujui sisemi nawaonea bali nimeona niliweke wazi kuwa TABIA YA WANAWAKE KUVUTA SIGARA MIMI HUWA NACHUKIA SANA.
Ukweli ni kwamba hiyo ni starehe Binafsi lakini mimi huwa sipendi kuona mdada anavuta sigara.Wengine Mtasema mbona wanaume wanavuta lakini sikutokea kuchukia hilo.
Nawakilisha kwa kusema hata kama unavuta sigara basi tafuta sehemu ujifiche ukimaliza kuvuta endelea na mambo mengine.Asanteni
Ukweli ni kwamba hiyo ni starehe Binafsi lakini mimi huwa sipendi kuona mdada anavuta sigara.Wengine Mtasema mbona wanaume wanavuta lakini sikutokea kuchukia hilo.
Nawakilisha kwa kusema hata kama unavuta sigara basi tafuta sehemu ujifiche ukimaliza kuvuta endelea na mambo mengine.Asanteni