Author
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 1,709
- 8,007
Habari JF,
Katika mzungumzo na baadhi ya wadada ikazuka hoja kuwa suala la sisi wanaume kutowapa hela au kuwapa 10,000 tu baada ya show ni ubahili.
Hili suala limenifanya niwaze sana kuwa kama mdada anakuja kushiriki tendo akiwa na mawazo ya kupata fedha baada ya show ana tofauti gani na yule anayejiuza barabarani?
Na ambaye huwa unampa hela baada ya show siku usipompa basi anatuuuna.
Huwa tunajitahidi kulipia usafiri na wakati mwingine lunch au dinner.
Hili suala la kutaka hela baada ya show wadau mnalionaje?
Katika mzungumzo na baadhi ya wadada ikazuka hoja kuwa suala la sisi wanaume kutowapa hela au kuwapa 10,000 tu baada ya show ni ubahili.
Hili suala limenifanya niwaze sana kuwa kama mdada anakuja kushiriki tendo akiwa na mawazo ya kupata fedha baada ya show ana tofauti gani na yule anayejiuza barabarani?
Na ambaye huwa unampa hela baada ya show siku usipompa basi anatuuuna.
Huwa tunajitahidi kulipia usafiri na wakati mwingine lunch au dinner.
Hili suala la kutaka hela baada ya show wadau mnalionaje?