Wadada basi hata aibu hakuna??

Sifa za kijinga. So what!! kani kutongozwa kitu gani? au ili tujua ushawahi kupanda ndege?!
 
Kwani uganda sio abroad! Ama vile kaenda na basi? Mbona kuna mtu aliomba ushauri hapa wa kukwea pipa to nairobi? Muache mwenzio bana ana passport huyo, hata kama ya kikaratasi

Kuna abroad na overseas,, this are two different things,, so handsome boy anadai aligundua u handsome wake abroad,, sipati picha akifika na overseas itakuaje..

Note that overseas can be reached through cut across seas and must be out of the continent while abroad include kenya, somalia, zambia kwa uamsho hapo jirani etc
 
Akhhhu! Mwenzio mie hata nikienda malawi nasindikizwa kituo cha basi na ukoo mzima na naulizwa kama nimekumbuka yellow card na passport. Ni abroa sema sio ulaya. Ukivuka bahari tu inakuwa ulaya hata kama ni india.:bowl:

Even india ni abroad, and also oversea,,

Ukivuka bahari tunasema umeenda overseas as you cut across sea so hapa lazima pawe out of continent,, so mtoa mada anadai alienda abroad,
Ambapo hata kenya ni abroad but sio overseas..

Huo ndo uelewa wangu labda mniweke sawa wataalamu..

India is another continent na ili ufike india lazima uvuke bahari so atleast huko ni oversea as you spend around 10 hours on world class flight,,, but malawi na kwenya mmh mmmh sizani...

So mtoa mada njoo utupe jibu kwanza la swali ilikuaje ukagundua u handsome wako abroad? Na unazungumzia abroad ya wapi?
 
jamii01, umerudi lini kutoka abroad, mara umeshaoa na kuoa?

 
upo darasa la ngapi na hz hadithi zako zinatufundisha nn?

Mwambieni aweke picha maana atakuwa anatangaza biashara, sjui km anajua pwani hii maana sie wanaume wengine huwa tunawala wanaume vilevile, kwa siri lakini labda yeye tu atangaze, na ela nyingi hutoa pia
 
Wewe ndo umepotea njia...
Tena hapo si ndo atapewa bila kinyongo?
Unadhani angesema hivyo ndo angewakimbiza??

hahaha wewe mie sikumaanisha kuwa hatapewa...najua kabisa goma atampa jamaa tigo so basi jamaa atajienjoy kwa raha zake
 

these are two different things.
 

Sio kweli, leta ushahidi ili tukubali
 
Uko sawa mkuu nimekukubali. Km mtu ambaye anajielewa lzm uwe na msimamo. Magonjwa meng na watu weng hufikir mapenz ni kugegedana tu no mapenz ni zaid ya hayo.
Mm mwenyw nipo na mke wangu siwez kuchepuka nampenda sana ndio maana nimemuoa.
 
Ndoa hizi! wewe unaremba remba hapo ofisini, mkeo anaputua tu kitaani. kuoa/kuolewa inahitaji moyo wa ujasiri sana!
 
Aibu ya nini?kama mtu kakutamani kwanini asifunguke tu ukweli kukaa kimya kunaumiza!
 
Me naona umekuja kutafuta mabint humu ndani, eti wewe handsome na umesoma abroad, yan ulivoandika tu inaonesha how short sighted you are, umeweka maelezo unnecessary kabisa. Kama kwel ulikua huko abroad basi bila shaka ulitutia aibu nyingi sana watz.
 
Basi hapo ukajikuta bichwa hiloooo.acha waonyeshe hisia zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…