Wadada acheni hii tabia ya kuuliza 'ndoa lini'

Wadada acheni hii tabia ya kuuliza 'ndoa lini'

Why stress au



stress mkuu, unakuta una majukumu mengi kipitiliza, watoto sasa ndo uombe mungu upate wasikivu ukipata watoto hawajatulia ndo mtihani kwelikweli, mke hapi ndo atakiwa awe wa kukufariki ukipata mke shokoshugi mkorofi lazma u rest in pisi asubuhi tuu...tena na hii mivyakula ya sasa hivi unakufa kwa presha au unafia barabarani, si ushawai kuskia mtu kafia usingizini au kafia kwa mchepuko
 
Na nyie muache kuwapa wachumba zenu majukumu ya ndoa!!!! Mara kufua kupika sheria kibao,,,akati huna mpango nakua naforce nisiendelee kuwa mtumwa wako mwisho wa Siku unabwaga...ahhhhh kwanini nisijue hilo ili nijiongeze mapema???? Unaishi na dada wa watu miaka 4 huoi, miaka 30 ndiiii inagonga ukiwa naee duh mwisho wa SKU unamwacha mnaanza kuwasema mbona hawaolewiiii....lazima kuuliza...

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli bora ujue mapema ili kama ni mpigaji tuu ujisepee kwa mwingine mapemaaaa
 
sanaaa joanah, heri tunaonyamaza wanasema wenyewe bila kuambiwa.

teh teh
Kwanza ndio inavyotakiwa japo hata mwanamke anaweza kuanza ila 'inanoga' zaidi akianza yeye

Alafu nimekumiss ujue
 
Kwanza ndio inavyotakiwa japo hata mwanamke anaweza kuanza ila 'inanoga' zaidi akianza yeye

Alafu nimekumiss ujue
nilihisi umeenda cjui wapi ambapo hakuna JF mweeee
hebu uwage unanitag tag mavituz bhana lol

mic you mingi
 
Ukiona anaulizia sana ndoa ujue mpo wawili anaangalia wapi pa kuangukia
Ukiona mizinga imezidi anachukua chake mapema wengi wanakuwa vicheche kwa hiyo anajua muda wowote atapigwa chini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu njemba inataka papuchi utadhani inameza dawa, mara tatu kwa siku ukiondoa zile siku za nanihii. Zile siku za nanihii njemba inaulizia baby unamaliza lini? maana huu ugwadu hata akili imegoma kabisa baby.

Lazima aulize

Wengine usipowauliza mtakaa miaka 8 utadhani mnasomea udaktari
 
Halafu njemba inataka papuchi utadhani inameza dawa, mara tatu kwa siku ukiondoa zile siku za nanihii. Zile siku za nanihii njemba inaulizia baby unamaliza lini? maana huu ugwadu hata akili imegoma kabisa baby.
Hahahahaha

Hapana chezea utamu wa bute

Kutwa mara 5
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kuna dem mmoja alikua anavituko sana kwangu,yani kila siku anataka pete ya uchumba twende kwa sonara,mala anakujau analalamika eti baby oohhh yani kila wiki nalala kwako ila si shiki mimba sijui uzazi wangu uko mbali...

Nikaona isiwe kesi ngoja nianze kutatua moja baada ya jingine,nikamtandika mimba ya kwanza, katoa yapili katoa yatatu katoa nikampiga chini mazima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama Lengo la mahusiano kabla ya ndoa ni kujuana tabia basi iwe hivyo kikweli kweli na sio kuwatumia mabinti za watu.
 
Unakuta umeingia kwenye mahusiano ya kimapenzi na msichana na mahusiano yenu hayana hata miezi miwili lakini kutwa kucha msichana anaulizia masuala ya ndoa. Mnatakiwa mtambue kwamba ndoa si jambo la mzaha na kukurupuka, ndoa inahitaji wawili kujuana kwanza kitabia.

Hii tabia ya kuulizana "ooh baby lini unakuja kuleta barua ya posa nyumbani" bwana weeeee mbona una haraka hivyo, mambo ya ndoa hayahitaji papara.

Kama una tabia nzuri huna sababu ya kulazimisha mambo ya ndoa, ukiona binti analazimisha masuala ya ndoa jua kuna tatizo ndani yake hivyo hafai kuwa wife material. Kama nina nia ya kukuoa nitakuoa na kama sina nia hata ufanyeje hauwezi kunibadirisha mawazo yangu labda uniendee kwa sangoma.

Kingine tabia ya kuombaomba pesa kila mara mpunguze otherwise mtaishia kukimbiwa kila siku. Kupata mpenzi haimaanishi umepata ajira au kitega uchumi kwamba matatizo yako yote umalizie kwake.

Tunatambua kwamba mnamahitaji yenu kama wanawake na tunapaswa kuwatimizia ila mpunguze tamaa kwamba kila unachomuona nacho swahiba wako basi na wewe lazima uwe nacho hapana hatuwezi fika kwa staili hiyo.

Binafsi huwa napenda nimuhudumie msichana pasipo yeye kuniomba sababu najua ni jukumu langu kumpendezesha na kumtimizia mahitaji yake.

Yangu ni hayo tu
Acheni kuchakaza mabinti wa watu, lazima aulize ni haki yake kuuliza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom