Wadada acheni hii tabia ya kuuliza 'ndoa lini'

Wadada acheni hii tabia ya kuuliza 'ndoa lini'

nlipoanza kumdate uyu dem baada ya miezi 3 ananiuliza unaoa Lini nikamwamba nikiwa tayari kuoa tu naoa nijue kwanza, ikaanza kuwa kama chorus kila tukikutana, ..? asee nlitoka nduki mpaka leo haamini
 
me kuna mmoja daily ananiambia eti nimzalishe tu then atalea mwenyewe...sasa sijui ndo strategy ya kuniingiza kingi hiyo ili nimuoe au vipi..
 
Wengine ukimtokea tu eti anauliza "utanioa au unataka kunichezea' mimi huwa nawajibu nitakuoa nikisha gegeda nasepa
Hao ni wajinga wengine hatugegedeki ndio maana sijawahi kuumizwa
 
nlipoanza kumdate uyu dem baada ya miezi 3 ananiuliza unaoa Lini nikamwamba nikiwa tayari kuoa tu naoa nijue kwanza, ikaanza kuwa kama chorus kila tukikutana, ..? asee nlitoka nduki mpaka leo haamini
Ndio vizuri waachie na wenzio nafasi wapate rahaaa sio kuweka likivuli kauzibe lako kumbe huna mpango
 
Ndio vizuri waachie na wenzio nafasi wapate rahaaa sio kuweka likivuli kauzibe lako kumbe huna mpango
ndo changamoto ya mapenz ya siku izi, huwa mnadhani mkiolewa ndo basi tena mnasahau kuna maisha baada ya ndoa.
 
me kuna mmoja daily ananiambia eti nimzalishe tu then atalea mwenyewe...sasa sijui ndo strategy ya kuniingiza kingi hiyo ili nimuoe au vipi..
Tafadhali Kama Huna Mpango Wa Kumuoa Ukimzalisha Usumbufu Wake Ni Wa Kiwango Cha Standard Gauge, Kama Hujawahi Kulogwa Mzalishe Halafu Oa Mwingine Kwa Matarumbeta,kigodoro, Ukumbini Aaaah
 
Anaeoa Ni Mwanaume Hivyo Dada zangu Msilazimishe Ki nguvu Kuolewa Tumieni Ile Inaitwa NGUVU YA ASILI YA USHAWISHI YA MWANAMKE Hapo Mwanaume Atajikuta Analeta Posa Na Ndoa Bila Kulazimishwa, Mwanamke Akilazimisha Ndoa Anazua Taharuki Moyoni Kwa Kwa Mwanaume
 
Ukiona mwanamke anakimbilia ndoa ni shida!! Ishini maisha ya upendo na amani huku mkichunguzana kama kweli ndio ninyi Mungu anataka muungane. Washika dini mtanipiga nyundo lakini msimamo wangu ni kwamba ndoa ni kitu cha mwisho na tunaweza kupata watoto bila ya ndoa. Hujaona watu wanafunga harusi huku watoto wakiwa wakubwa? Mtanishambulia tena kuhusu tendo la ndoa pasipo ndoa, kwangu sio dhambi kwa watu wazima walioelewana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na nyie muache kuwapa wachumba zenu majukumu ya ndoa!!!! Mara kufua kupika sheria kibao,,,akati huna mpango nakua naforce nisiendelee kuwa mtumwa wako mwisho wa Siku unabwaga...ahhhhh kwanini nisijue hilo ili nijiongeze mapema???? Unaishi na dada wa watu miaka 4 huoi, miaka 30 ndiiii inagonga ukiwa naee duh mwisho wa SKU unamwacha mnaanza kuwasema mbona hawaolewiiii....lazima kuuliza...

Sent using Jamii Forums mobile app
Waambie hao..
Mm lazma niulize unampango gani na mm?!...


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata hayo mahusiano uliyorukia hayahitaji papara,kwahiyo kama bado hauko tayari kaa mwenyewe.
 
Ndoa ni zawadi peke Na bora kabisa, Mwanaume anayompa Mkewe.
 
Back
Top Bottom