Wadada above 30

Mpoleee

Member
Joined
Nov 10, 2014
Posts
75
Reaction score
72
Yaani imekua tabu watu hawali vikalika, hawasomi vkasomeka hawatulii makazini kisa kuwasema wadada wa watu.

Hivi jiulizeni kuna mtu anapenda kufika 30 bila kua na mahusiano ya kueleweka.

Hakika hayupo, na hii inatokana mara nyingi na kutojaaliwa maybe kutokutana na yule mwenye vigezo uvitakavyo. Ukizingatia husband material wachache sana siku hizi.

Na ndoa nyingi za vijana full kulazimishana lazima unioe dot com. Mara nying na mimba juu! Na kwa mwanamke mwerevu anayejitambua sidhani kama yuko tayari kuolewa na mtu baki tu eti kisa 30 inakarbia.

Jamani tukubali msingi wa ndoa ni upendo kama hawajaridhika na watu wa kuwapenda for life (katika magonjwa na afya).

Muwaache hakuwapanga iwe hivi inaniuma kuona mnawasakama hadi mnawa affect kisaikolojia. Imagne mume anayefaa humuoni bado jamii imekuandama.

Nilipanga mimi? Mnapelekea watu kuwa na visirani vya ajabu maofisini, nyumbani n.k let them live their lives, kama we umebahatika kuwa na happy family am happy 4 you.

Wadada wa watu muwaache
 
Bas sawa hw abt men? Miaka mingapi ikipita na ss tunasemwa.
 
Si kweli wakati wote. Unachofikiri ni rahisi kwako, si rahisi kwa wote na mara zote. Hao above 30 kila mmoja ana historia yake na mipaka yake. Uliyepata Usimkashifu ambaye hajapata, maana hata ulichonacho hakina tofauti na kukumbatia maji.
 
Comparison is the thief of Joy....maisha ya kujilinganisha na fulani ndo maana wanakuwa na visirani....na wanatoa nafasi ya watu kuwaumiza kwa masengenyo....wanasema kill them with happiness. lakini wakiendelea kuwa watu wa kulalamika,wanyonge na kuona kama kutokuolewa ni aina fulani ya ulemavu au laana na kuwa desperate wataishi kwa taabu sana.

Ukweli utabaki kuwa kuna vitu haviko ndani ya uwezo wako,huwezi lazimisha mtu akuoe au aone unafaa kuwa mke,ukifanya hivyo una utumwa wa maisha,kufurahisha dunia kumbe ndani unaungua..kaa karibu na Mungu wako na mwambie mapenzi yako yatimizwe,unipe furaha kwa lile ninalodhani nalihitaji ila hujanijibu kwa kuwa sababu waijua wewe.

Usijiulize nilipanga? kwa ufupi ni machache sana unayopanga,hukupanga kuzaliwa,kuwa mwanamke,kuwa na elimu uliyonayo,kuwa na mafanikio uliyonayo au hata mapungufu....acha kupoteza muda na maswali usiyoweza pata majibu mazuri, labda ujiulize mienendo yangu na tabia zangu zinawavuta watu sahihi kwangu?

Ukimaliza muombe Mungu na urekebishe pale inapobidi the rest muachie Muumba wako aliyekujua hata kabla ya kutungwa tumboni kwa mama yako.

Last but not least....bado unaishi...subira na moyo wa shukrani kwa mazuri uliyonayo itakupa amani. Usiishi kuhesabu uliyokosa tu,tizama Mungu aliyokupa.
 
hahahha limeshakuwa janga la kitaifa... hawa wanapaswa kuwekwa kwenye kundi lao maalumu, wapewe na basic needs itawasaidia sana hasa kuondoa msongo wa mawazo maishani mwao *nukta*
 
Michelle long time not see ya ....

Where have you been?
 
Last edited by a moderator:
Hii jamii mbaya sana....ukiendekeza unaweza kufa na stress... La ajabu kuna wanaume wanalenga hili kundi la kina dada na kutafuta kulelewa kwasababu kuna utelezi fulani. Kwa kuwa wengi wao wanakuwa already established na wanaogopa kupitisha 30 hawana msimamo wa kimahusiano au family, ili waepuke midomo ya jamii

Gadem....Wanawake wenzangu tujiamini, mwanaume wa aina hii tupa kule.....
 

I couldn't have said it better myself... Be blessed
 
Bora hata mwanamke asipoolewa kuliko mwanaume asipo oa...Kwanza heshima hakuna !........Anaonekana ni chovya chovya...Mwanaume akifika 35 kwa kweli asipooa kama Hayuko tight kielimu huwa wengi tunajiuliza...Na ukichunguza mara nyingi utakuta ni zile design za wanaume wa kubadilisha skirt kila kukicha.



Bas sawa...hw abt men?? Miaka mingapi ikipita na ss tunasemwa
 
hahahha limeshakuwa janga la kitaifa... hawa wanapaswa kuwekwa kwenye kundi lao maalumu, wapewe na basic needs itawasaidia sana hasa kuondoa msongo wa mawazo maishani mwao *nukta*

yaleyale
 
Kila mtu aoe au aolewe pindi apatapo mtu aliyekuwa anamuhitaji akilini mwake, ukimpata pindi ukiwa na 40 au 50 ni sawa tu...
 
Sio sababu nasema haya kwakua nimeolewa laa, lakini sioni sababu ya mtu kujitia kwenye ndoa eti hata kama mume mwenyewe si mume ni gumegume sababu kuu mda unakwenda,naongea na wadogo zangu sikuzote msikimbilie ndoa.

Someni mpaka basi na utaona matunda yake,hao wanao katisha watu tamaa oooh ukifika 30-35yrs kuolewa shida nani kasema? ukijipanga vizuri na time ikiwa iko tayari unaolewa na unakua umetulia unaakili yakuhimili michakato ya ndoa.

Kuliko unaolewa 19-25 bado akili changa.. waliokua bado kuolewa msijitie BP olewa kwakua unampenda mume sio kwa
ajili ya kutoa mkosi wala kwa ajili ya watu watasema....
 

Sina hata la kuongezea aisee umesemema yote
 

Na wife material je? Ww unawaona ni wengi? Husband material wapi wengi sana Ila wife material ndio wachache... ukiona mwanamke umefika 30s bado hujaolewa change your behavior coz your not wife material
 
Long time Eiyer...have been working,studying and doing research in different places.
Hope you are doing well,good to see you here!

Hivi siku hizi unaweza doing research in different places? na siyo reseach at a specific point/place/focus?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…