Echolima
JF-Expert Member
- Oct 28, 2007
- 3,824
- 2,079
Matusi gani????
Wewe Pia uliona ni sawa kwa "mtumishi" kuvurumisha matusi vile?
Wewe Pia uliona ni sawa kwa "mtumishi" kuvurumisha matusi vile?
Umoja wa nini sasa,?? Ni Mungu aliyeahidi kwa kusema "Nitakuwa nawe wakati wa taabu" hakusema wakati wa taabu utakuwa na wachungaji wenzako. Mambo ya Umoja wa namna hiyo ni huko katoliki, sisi hatuna desturi kama hizo. Pengo angepooza mngembeba mzobe mzobe Queens hospital Washington, sisi tunakuacha usimame kwa imani yako
ila kusema ukweli, jamaa wamemtosa sana. hata kwenda kupooza kwa kova na picha kwa ahadi kwamba wataenda kumuonya jamaa asirudie tena, wao wamemwacha anagaragazwa peke yake.hahahha.duh! hii ya kwako kali ya mwaka
umoja wao hauonekani ila wewe subili wamunyang'anye hati ya usajili harafu tuone kama CCM itabaki salamaYAANI just kwa kuangalia sakata la gwajima, na inavyosemekana leo ameambiwa aende akalete hati ya usajili wa kanisa lake, hiyo wanamfanyia psychological torture mbaya sana na wanataka kumpoteza mapema kabisa afe kabisa.
Ajabu yake ni kwamba, wachungaji wenzie wa makanisa ya kilokole na hayo sijui ya CCT na mengine sijui majina, hawana umoja kabisa wamemwacha gwajima anapambana peke yake wakati wakiwa kwenye mikutano yao hiyo walikuwa wote pamoja.
Hata Arusha walikuwa wote pamoja lakini hapo wamemwacha peke yake apambane peke yake. nilichokuwa nategemea ni kwamba hawa wachungaji wangejaribu ku reconcile na serikali ili suala hili liishe kwa amani kwasababu hakuna ubishi kwamba wakristo wengine tunahisi kuwa christianity is being attacked here, na wengi wetu tumeshasali sana pale kwa gwajima na serikali tunaona inatuumiza mioyo.
Ninajua hata kama hawatasema chochote lakini kitakachotokea kwenye kura mwaka huu itakuwa siri ya CCM.
Pengine suala hili ni mpango wa Mungu ili walokole wote wapige kura upinzani kwasababu ukristo unanyanyaswa hapa, walokole tunanyanyaswa.
ila kusema ukweli, jamaa wamemtosa sana. hata kwenda kupooza kwa kova na picha kwa ahadi kwamba wataenda kumuonya jamaa asirudie tena, wao wamemwacha anagaragazwa peke yake.hahahha.
kusajili kanisa ni takwa la kisheria kila mtu analijua takwa hilo, sasa kama hakusajili wachungaji wenzake wamsaidiaaje ?
Sipo kwenye Ligi kama wewe na Maislamu wenzako mnao pulizwa.wewe utakuwa mbeba kapu la sadaka pale kwa GWAJIMA
Kwa matusi yale, huyu mchungaji nahisi akiwa mdogo alipatwa na Malnutrition ambayo ikamsababishia Mental Retardation And Over Secreation Of Matusi Hormones.
Sipo kwenye Ligi kama wewe na Maislamu wenzako mnao pulizwa.
Kupulizwa hainihusu, hiyo ni mambo ya Mkweli Mwaminifu Bukhari alisema hayo baada ya kusikia kwa aliye sikia kutoka Mtume na Nabii wa Allah. Nyie hamjui kwanini mnatawazwa kabla ya swala? Ni kutayarishwa kabla ya kupulizwa.Koma kabisa wewe chezea makristo wenzio usijumuishe wote