Wachungaji wa kilokole hawana umoja kabisa

Wachungaji wa kilokole hawana umoja kabisa

Ubungoubungo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2008
Posts
2,502
Reaction score
743
YAANI just kwa kuangalia sakata la gwajima, na inavyosemekana leo ameambiwa aende akalete hati ya usajili wa kanisa lake, hiyo wanamfanyia psychological torture mbaya sana na wanataka kumpoteza mapema kabisa afe kabisa.

Ajabu yake ni kwamba, wachungaji wenzie wa makanisa ya kilokole na hayo sijui ya CCT na mengine sijui majina, hawana umoja kabisa wamemwacha gwajima anapambana peke yake wakati wakiwa kwenye mikutano yao hiyo walikuwa wote pamoja.

Hata Arusha walikuwa wote pamoja lakini hapo wamemwacha peke yake apambane peke yake. nilichokuwa nategemea ni kwamba hawa wachungaji wangejaribu ku reconcile na serikali ili suala hili liishe kwa amani kwasababu hakuna ubishi kwamba wakristo wengine tunahisi kuwa christianity is being attacked here, na wengi wetu tumeshasali sana pale kwa gwajima na serikali tunaona inatuumiza mioyo.

Ninajua hata kama hawatasema chochote lakini kitakachotokea kwenye kura mwaka huu itakuwa siri ya CCM.

Pengine suala hili ni mpango wa Mungu ili walokole wote wapige kura upinzani kwasababu ukristo unanyanyaswa hapa, walokole tunanyanyaswa.
 
pengo na wenzake ndo hawaelewani kabisa kila mtu anaongea lake hao ndo umoja hakuna
 
Wamemdharau Gwajima,badala ya kujenga nyumba ya ibada kaenda kununua Chopa
 
Umoja wa nini sasa,?? Ni Mungu aliyeahidi kwa kusema "Nitakuwa nawe wakati wa taabu" hakusema wakati wa taabu utakuwa na wachungaji wenzako. Mambo ya Umoja wa namna hiyo ni huko katoliki, sisi hatuna desturi kama hizo. Pengo angepooza mngembeba mzobe mzobe Queens hospital Washington, sisi tunakuacha usimame kwa imani yako
 
Wamemdharau Gwajima,badala ya kujenga nyumba ya ibada kaenda kununua Chopa
Inaonekana hujui Chopa aliipataje. Hakununua chopa bali alipewa na Mjapani. Jifunze kufanya utafiti kabla ya CYBER CRIME ikumeze.

JF mtamezwa wengi sana na Cyber Crime.
 
YAANI just kwa kuangalia sakata la gwajima, na inavyosemekana leo ameambiwa aende akalete hati ya usajili wa kanisa lake, hiyo wanamfanyia psychological torture mbaya sana na wanataka kumpoteza mapema kabisa afe kabisa.ajabu yake ni kwamba, wachungaji wenzie wa makanisa ya kilokole na hayo sijui ya CCT na mengine sijui majina, hawana umoja kabisa wamemwacha gwajima anapambana peke yake wakati wakiwa kwenye mikutano yao hiyo walikuwa wote pamoja. hata arusha walikuwa wote pamoja lakini hapo wamemwacha peke yake apambane peke yake. nilichokuwa nategemea ni kwamba hawa wachungaji wangejaribu ku reconcile na serikali ili suala hili liishe kwa amani kwasababu hakuna ubishi kwamba wakristo wengine tunahisi kuwa christianity is being attacked here, na wengi wetu tumeshasali sana pale kwa gwajima na serikali tunaona inatuumiza mioyo.

ninajua hata kama hawatasema chochote lakini kitakachotokea kwenye kura mwaka huu itakuwa siri ya ccm. pengine suala hili ni mpango wa Mungu ili walokole wote wapige kura upinzani kwasababu ukristo unanyanyaswa hapa, walokole tunanyanyaswa.

Ingekuwa ni askofu wenu na umoja wenu, alipopooza mngempaka upako wa wafu
 
pengo na wenzake ndo hawaelewani kabisa kila mtu anaongea lake hao ndo umoja hakuna

Unamzungumzia mtu mmoja kupingana na wenzake? Shame on you!
Wachungaj wa kilokole kila mmoja akiamka na moral yake ndo hvyo anahalalisha ameshukiwa na na roho mtakatifu!
 
Unamzungumzia mtu mmoja kupingana na wenzake? Shame on you!
Wachungaj wa kilokole kila mmoja akiamka na moral yake ndo hvyo anahalalisha ameshukiwa na na roho mtakatifu!

Kila mmoja na mishemishe zake za kusaka pesa. Madhani kila mmoja ana mungu wake!
 
wewe utakuwa mbeba kapu la sadaka pale kwa GWAJIMA
Mimi sio mfuta mkumbo kama wewe. Nasema kwa data, wewe unasema kwa kukaririshwa. Tupo tofauti sana. Nyie ndio mtakao ishia kwenye Cyber Crime.
 
YAANI just kwa kuangalia sakata la gwajima, na inavyosemekana leo ameambiwa aende akalete hati ya usajili wa kanisa lake, hiyo wanamfanyia psychological torture mbaya sana na wanataka kumpoteza mapema kabisa afe kabisa.ajabu yake ni kwamba, wachungaji wenzie wa makanisa ya kilokole na hayo sijui ya CCT na mengine sijui majina, hawana umoja kabisa wamemwacha gwajima anapambana peke yake wakati wakiwa kwenye mikutano yao hiyo walikuwa wote pamoja. hata arusha walikuwa wote pamoja lakini hapo wamemwacha peke yake apambane peke yake. nilichokuwa nategemea ni kwamba hawa wachungaji wangejaribu ku reconcile na serikali ili suala hili liishe kwa amani kwasababu hakuna ubishi kwamba wakristo wengine tunahisi kuwa christianity is being attacked here, na wengi wetu tumeshasali sana pale kwa gwajima na serikali tunaona inatuumiza mioyo.

ninajua hata kama hawatasema chochote lakini kitakachotokea kwenye kura mwaka huu itakuwa siri ya ccm. pengine suala hili ni mpango wa Mungu ili walokole wote wapige kura upinzani kwasababu ukristo unanyanyaswa hapa, walokole tunanyanyaswa.

Kwa hiyo Wakatoliki wana umoja? Mbona. TEC wameunga mkono tamka la Jukwaa la Wakristo lakini Pengo ambaye ni mjumbe wa TEC kaja kivyake?
 
YAANI just kwa kuangalia sakata la gwajima, na inavyosemekana leo ameambiwa aende akalete hati ya usajili wa kanisa lake, hiyo wanamfanyia psychological torture mbaya sana na wanataka kumpoteza mapema kabisa afe kabisa.ajabu yake ni kwamba, wachungaji wenzie wa makanisa ya kilokole na hayo sijui ya CCT na mengine sijui majina, hawana umoja kabisa wamemwacha gwajima anapambana peke yake wakati wakiwa kwenye mikutano yao hiyo walikuwa wote pamoja. hata arusha walikuwa wote pamoja lakini hapo wamemwacha peke yake apambane peke yake. nilichokuwa nategemea ni kwamba hawa wachungaji wangejaribu ku reconcile na serikali ili suala hili liishe kwa amani kwasababu hakuna ubishi kwamba wakristo wengine tunahisi kuwa christianity is being attacked here, na wengi wetu tumeshasali sana pale kwa gwajima na serikali tunaona inatuumiza mioyo.

ninajua hata kama hawatasema chochote lakini kitakachotokea kwenye kura mwaka huu itakuwa siri ya ccm. pengine suala hili ni mpango wa Mungu ili walokole wote wapige kura upinzani kwasababu ukristo unanyanyaswa hapa, walokole tunanyanyaswa.

Wachungaji wa makanisa ni mahasimu wao kwa wao its like competitor in business environment so vigumu kuwa na umoja.
 
Mpumbavu nae akikaa kimya ataonekana ana busara, ndicho walichofanya maaskofu hao wa kilokole.
 
Back
Top Bottom