Next Level
JF-Expert Member
- Nov 17, 2008
- 3,153
- 176
Sasa niwape ya kwangu.
Kweli naona haya ni yakwako....see my comments below!
Kutumia kigezo cha taasisi za kidini kama sifa ya kusamehe kodi ni kosa kubwa maana humo ndani yao pia kuna ufisadi mkubwa. Misamaha inayotolewa ya kodi kwa taasisi za kidini kwa kiasi kikubwa bado iaishia kufaidisha watu matajiri na kuwaacha masikini wakiendelea kuteseka.
Comment yako ni very general....si kila taasisi liyopata msamaha wa kodi iliutumia kifisadi mtu wangu!
Hii mifano yako haiendani na ulichosema hapo juu!Nina mifano.
Shule kama St Marian kule Bagamoyo, St Francis, St Mary Goreti ya Moshi na nyingine za namna hiyo zinazosifika zinaeleweka kuwa ni za taasisi za dini, kwa hiyo zinapata msamaha wa kodi.
Mkuu hivi ni misamaha gani ya kodi unaisema hapa....VAT, Corporate, import duty, w/tax au kodi ipi? au unaweza kunitajia ni shule zipi Tanzania hazijasamehewa kodi kwa mantiki hiyo mkuu wangu? taja hata moja tu!
Nijuavyo mimi hakuna shule hata moja Tanzania inayolipa kodi ukiacha indirect taxes through PAYE kwa wafanyakazi wao & withholding taxes kwenye malipo ya supplies wao na pia VAT, excise duty kwenye consumer goods kama simu, vinywaji, vyakula etc but they don't pay kodi ya mapato (corporate taxes) VAT kwenye direct supplies to the schools!
Soma hapa....from VAT Act 1997....Third Schedule..Special reliefs!(before budget ya juzi)
(10)(1) (1) The importation or local purchase by or on behalf of a registered religious, charitable community based, or other non-profit driven organization or institution, of goods or services intended to be used solely by the organization or institution for-
(c) the development, maintenance or renovation by the organization of projects relating to health, education, training, water supply, infrastructure or any other projects relating to advancement of the community
Pia soma hapa....from Second Schedule VAT ACT 1997...Exemptions (kabla ya budget)
1. Educational Supplies
Educational services provided by an establishment registered by the Government
Pia hii hapa....!
1. Books and newspapers
(1) Books, booklets, maps and charts.
(2) Newspapers, journals, magazines and periodicals
Lakini hebu nenda leo kwenye shule hizo kama utakuta mtoto wa masikini! Loh atafikaje humo, wamejaa watoto wa mafisadi tu!
Hi comment nayo ni to general......mimi mwenyewe nimesoma shule ya dini...japokuwa kuna ukweli kuhusu ada kuwa kubwa lakini ada inayolipwa hailingani kabisa na huduma zinazotolewa huko shuleni mtu wangu.....! Huko mtoto unapewa vitabu vyote vinavyo hitajika, unafundishwa vipindi vyote kama mtaala unavyotaka, unapewa mazoezi ya kutosha, unapewa muda mwingi wa kupumzika, unafuatiliwa mwenendo wako wa kitaaluma na kimaadili ukiwa shule na nyumbani, unapewa chakula cha kutosha...asubuhi, mchana, jioni...wakti mwingine hata chai jioni mnapewa, mnalala sehemu nzuri sana......!
Ukilinganisha ada unayolipa kwa kweli inakuwa ni kama faida tupu kwa mwanafunzi....!
Si kweli kuwa eti zimejaa watoto wamafisadi....no, ila huwa wanaangalia intellectual capabilities za mtoto kabla ya kuangalia fedha.....nakuhakikishia nenda na mamilioni yako huko kurobby ili upate nafasi ya mwanao kama hana uwezo hupati kitu!
Shule ada tu ni zaidi ya milioni, eti nao wanataka wasamehewe kodi, si ufisadi huo ni nini? Wanakusanya hela nyingi, karo aghali sana bado hawataki kulipa kodi? Walipe kodi kama wafanyabiashara wengine!
Rejea comment yangu hapo juu.....hakuna shule Tz inalipa kodi hizo unazosisema hapo labda unipe mfamo mmoja tu mkuu!
Hakuna anayezuiwa kufanya biashara. Kama taasisi za dini zinafanya biashara kama hiyo niliyoona kwenye hayo mashule niliyotaja, zilipe kodi kama wengine, wasitake kutuibia kila siku.
Tusichanganye mambo wakubwa....biashara zote zilizoachishwa na mashirika ya dini zinatakiwa kulipa kodi kwa mujibu wa sheria zetu za kodi! Wewe mkuu unaangalia mashule na mahospitali tu.....nimekwambia hakuna hospital au shule yoyote nyingine Tanzania inayolipa kodi ziwe za binafsi au za serikali!
Ila biashara zinazoendeshwa na mashirika ya dini wanalipa kodi kama biashara nyingine yeyote....kwa mfano kama wanaduka, au kiwanda huko wanalipa kodi tu! Naona watu wamekalia elimu na afya.....hivi vitu viko exempted si kwa dini tu bali hata watu binafsi pia!