Chanzo ni jiwe na poor fiscal policy zakeWajuzi wa mambo hebu mtujuze ,nimetembea mikoa na wilaya mbalimbali nimekutana na kilio cha wananchi kuhusu ukata wa pesa mtaani wananchi wanalia sana .Nini chanzo maana binadamu yoyote yule anahitaji chakula , mavazi na malazi ,sasa hata chakula imekuwa Shida kumbuka kina wazee ,watoto ,walemavu na wasiojiweza watafanyaje wakati watu lazima tu mambo magumu ,hii awamu ya tano ndio waliyotuahidi ? au ndio imeshakuwa Zimbabwe .
Ukiwa na shibe usivimbe kiburi na kumsahau jirani yako mwenye njaaKwani mwanzo walikuwa wanazipatia wapi? Wakwambie kuwa mwanzo tulikuwa tunaenda ofisi ya mtendaji kila ijumaa na kupewa laki moja moja ila siku hizi hatoi.
Na kama walikuwa wanazipata baada ya kufanya kazi, wakutajie hiyo kazi waliyokuwa wanafanya, halafu rudi hapa.
Acha taarabu, eleza unakwama wapiUkiwa na shibe usivimbe kiburi na kumsahau jirani yako mwenye njaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Pasi bado haijamaliza kunyoosha nchi hadi treni ya Mwendo kasi mradi wake uishe, Majengo yote ya wizara ya huko Dodoma yamalizike ,mradi wa Stieglers gorge umalizike n.kWasalaam wakauu,
Wengi wetu humu ndani tunamiliki 'vijibiashara' vya kutuingizia sent mbili kila siku.
Wengi watakubaliana nami tangu Magufuli aanze kubana Matumizi na kutumbua majipu Kwa sasa biashara nyingi zimedolola hakuna wateja kabisa! mtu unaweza ukakaa karibu siku mbili hujauza chochote.
Hapa kunauwezokano wa Shilingi imebanwa katikati hapa. Mzunguko wa pesa haupo kwa sasa, Magufuli hebu achia hiyo shilingi.
WACHUMI TUSAIDIANE, MTAANI HALI NGUMU, FEDHA HAKUNA BIASHARA IMEKUWA NGUMU. PESA IKO WAPI?