watu wa mtandaoni ndio hao hao wa mtaani.
Hahahaha umemjibu vizuri pengine mkuu anajua wachumba wa mtandao wanaishi kwenye RAM au CPU
Bora umwambia sijui ye anawaza vp? anajua wa huku wanasura tofautiwatu wa mtandaoni ndio hao hao wa mtaani.
well said mkuuMahusiano ya mahali popote yanategemea na wahusika wenyewe. Hata mkae nyumba moja yanaweza yasidumu vilevile
watu wa mtandaoni ndio hao hao wa mtaani.
mi tunda langu la humuhumu mtandaoni mpaka hivi sasa tunaishi vizuri sana....na isitoshe nimkuta akiwa bikra
Mi tunda langu la humuhumu mtandaoni mpaka hivi sasa tunaishi vizuri sana....na isitoshe nimkuta akiwa bikra
Jamani simu yangu haina kitufee cha like kumetokeaa ninii???au ndio wanataka kuweka cha dislikee
Jamani simu yangu haina kitufee cha like kumetokeaa ninii???
Mi tunda langu la humuhumu mtandaoni mpaka hivi sasa tunaishi vizuri sana....na isitoshe nimkuta akiwa bikra