Ha ha ha! Sina utaalamu na mambo ya uchoraji ... Ngoja wataalamu waje watupe hints kuhusu hizo common features.tatizo karibu wote wanakichora hivyo ni kama wameambiana mkuu
nimekuwa nikiangalia katuni za magazetini tangu mchakato wa uchaguazi mkuu uanze naona wachora katuni wengi wanakikosea kichwa cha magufuli sijajua kama ni makusudi au ni maswala ya kiufundi naweka mfano
![]()
Mbona ya JK sio katuni?
Kwan kidevu wanakipatia Mkuu???