Wachina Wanawinda Ndani ya Serengeti

Wachina Wanawinda Ndani ya Serengeti

kwani ninyi sisi na ninyi nani anamwaga damu..mnamwaga damu halafu mnasingizia CDM,mnatapatapa,hamvuki T2015CDM,jipangeni mapema
mtalalamika sana, lakini hamtaubadilisha ukweli kamwe kuhusu utekaji muufanyao hapa nchini. damu za mliowaua zinawatafuna. kuleni matunda ya kazi ya mikono yenu
 
Hata hujielewi,watu wanazungumzia jinsi raslimali zetu zinavyoteketezwa wewe unasema ushindani???!!!Utakuwa mmoja wao siyo bure

Wachina walifukuzwa S.Africa na kunyimwa tenda zote baada zote baada ya kugundulika kuwa walihusika moja kwa moja na mauaji ya faru kule kruger national park,sasa sijui itakuwaje kwa hii nchi inayoongozwa na mashetani.
 
Wachina walifukuzwa S.Africa na kunyimwa tenda zote baada zote baada ya kugundulika kuwa walihusika moja kwa moja na mauaji ya faru kule kruger national park,sasa sijui itakuwaje kwa hii nchi inayoongozwa na mashetani.

MKuu acha tu hawa wanaojiita viongozi wetu naona wameamua kutukamua kweli kweli
 
Acha kudanganya wewe Gesi-Mtwara,lete hiyo picha ya gari la Wachina ambalo wanafanya nalo ujangili.
Vinginevyo ww mzushi mwongo na mzandiki
 
speechless..serikali na Tanapa wamelala usingizi wa pono

this is getting worse

na wote hao ukiwauliza watamtaja JK kuwa ndiye aliyewaruhusu, si ajabu wala hajui tukio kama hili
 
Acha kudanganya wewe Gesi-Mtwara,lete hiyo picha ya gari la Wachina ambalo wanafanya nalo ujangili.
Vinginevyo ww mzushi mwongo na mzandiki

kwahiyo wewe kila ukisikia kitu unaomba picha sio??

shenzy type wahed
 
yULE aL SHABAB SI ANA MELI ZAKE SO WA CHINA WAKIWINDA YEYE ANABEBA
 
Kuna habari za uhakika kwamba, kuna kundi la wachina ipatayo 8 ndani ya Serengeti wanaosaidiana na watanzania kadhaa kuwinda Faru na tembo. Majangili hao wana gari aina landrover yneye rangi ya kijani, inayofanana na ya TANAPA. Ikiwa ndani ya hifadhi, gari hilo ufunikwa na kitu ambacho kinafanana na neti, ambayo uifanya gari kuonekana kama kichaka. Wadau wanatafuta picha...tutawajuza zaidi

Hakuna eneo lililobaki ambalo wanaweza kupewa hawa wachina kama "waalabu" wa Loliondo? Kwa nini wanapata tabu ya kujificha ficha?

Meli ya Kinana inahitaji kusafirisha mzigo. Ndege za kijeshi za Qatar zinahitaji wanyama kupeleka makumbusho.
Wachina wanataka kula hao wanyama au ndio ushirika na wenye meli za kusafirisha mizigo?

Tanzania Tanzania , nakupenda kwa moyo woteeee!

 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom