Jagarld
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 2,689
- 3,447
speechless..serikali na Tanapa wamelala usingizi wa pono
inaweza kuwa hawajalala,labda ndiyo masharti nafuu ya mikataba aliyoingia mkulu wetu.
speechless..serikali na Tanapa wamelala usingizi wa pono
Guys acheni ushindani wa kijinga. Huu ni ushindani wa kujinga kwa sababu kila Mchina atakalolifanya anaonekana kama ni adui bila kujiuliza nani kwenye dunia hii ni rafiki yetu? Tunasahau kwamba huyo tunayemuita kama baba wa taifa hajawai kuwagusa au kuwashutumu Wachina. Bangi gani mliovuta mpaka mkaanza kuwaona Wachina ni maadui zetu?
Natanguliza shukurani
hiyo robo 3 ni ya wapi? yaani ukimchukia wewe basi imekuwa robo 3? wewe kweli taahira na mirembe panakuhusu.
You are idiot!Wakati wa Nyerere wachina walijenga reli ya Tazara!Hatukuwa na bidhaa feki,dumping of their inferior cheap stuff.Leo hii tuna mitumba ya baiskeli toka chini.Wakati wa Nyerere tulikua na baiskeli hasa,gazelle etc.
Pikipiki wamedump Tanzania ni chaotic sasa
hiyo robo 3 ni ya wapi? yaani ukimchukia wewe basi imekuwa robo 3? wewe kweli taahira na mirembe panakuhusu.
wewe tatizo lako unaongozwa na hisia. hivi unajua hizo hela za epa aliziruhusu mkapa? unataka kuniambia kuwa hela zimeanza kwenda kufichwa uswisi kipindi cha kikwete tu? kipindi cha mkapa/mwinyi/nyerere watu hawakwenda kuficha hizo hela uswisi?Wewe ndo tahira wa kufa hata mirembe hapakufai maana raisi aliyetuuza wote tukiwa nchi kwetu ndo tumpende kwa lipi? Mikataba 19 inasainiwa per day wananchi hawajui kinachoendelea. Hela za Swiss, EPA We are so tired with this preseda. Wazungu wananicheka kila ninaposema nimetoka Tz wanasema tukitaka ardhi tuu tunaenda Tz na vihela viduchu shame on us kila mahali tunajulikana tuu dhaifu. Viongozi dhaifu mambo dhaifu na wananchi tumeonekana wote dhaifu.
robo tatu tunamchukia...hiyo robo moja ni wewe na wajinga wenzio
ama kweli wewe ni taahira na huyo rais wako mnanemuita wa moyoni ambaye hawezi kuleta ushahidi hata wa pale karatu kwake kama aliongoza kwa kura?
sisi tuna rais aliyeko madarakani na mwenye mamlaka. mebaki kulalamika. endeleeni mpaka 2015. nahapo pia hamshindi ng'o labda sijui msubiri 2025
poleni mafisadi......mwisho wenu umefika
Nini tena?! Unajiaminisha kwa lipi hilo?
mtalalamika sana, lakini hamtaubadilisha ukweli kamwe kuhusu utekaji muufanyao hapa nchini. damu za mliowaua zinawatafuna. kuleni matunda ya kazi ya mikono yenupoleni mafisadi......mwisho wenu umefika