Wachezaji watatu bora kuwahi kucheza Yanga SC

Oscar joshua


Mpaka 1975, yaani mwisho wa Yanga ya ukweli. Though tricky,

Option 1: Omary Kapera, Gilbert Mahinya( huyu alikuwa World Class, kama Franz Backenbeur, alitokea Sunderland/Simba?) na Maulidi Dilunga.
Option 2: Leodgard Tenga, Abdrahaman Juma na Sunday Manara
Option 3 : Jela Mtagwa, Muhaji Muki na Gibson Sembuli
 
Back
Top Bottom