Wachezaji wa Taifa stars ni kama hawana lishe na walegevu mno

Wachezaji wa Taifa stars ni kama hawana lishe na walegevu mno

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
15,774
Reaction score
35,994
Binafsi ni mpenzi wa football
Jana nimefuatilia mechi ya Stars na Nigeria
Ilikuwa kama mashindano ya shule Kwamba ni mechi ya Form 1 vs Form 6

Nimeona Taifa stars wana vipaji ila ni kama hawana lishe yaani mbegu mbaya
Nadhani serikali iangazie lishe za watoto wakiwa wadogo ili kujenga miili yenye nguvu
Mfano eti Msuva akabane na Ajay
Au Basey akabane na Alfons Mabula,

Au eti Lookman au Chukuweze ana battle na Tshabalala

Pale katikati eti Iwobi, Ndidi na Adams wana battle na Novatus na M'mombwa

Shida yangu sio CV ila ni hali ya fitness wachezaji wetu unaona ni ndogo mno

Ufupi wala kimo sio shida Mesi, Mane, Carzolq ni wafupi ila unaonekana miili ina nguvu
Screenshot_20251224-151310.png
 
Wote wanachezea club za ndani.
Kucheza club za ndani sio shida mfano mtazame Pacome, Ahoua, Mpanzu halafu linganisha na akina Nado, Ibrahim, Nkane
Unaona vipaji wanavyo lakini Kuna lishe hawana
 
Kucheza club za ndani sio shida mfano mtazame Pacome, Ahoua, Mpanzu halafu linganisha na akina Nado, Ibrahim, Nkane
Unaona vipaji wanavyo lakini Kuna lishe hawana
Sasa maangalizo kwa hizi club zao za ndani unategemea watapangiwa nini.
 
Back
Top Bottom