Wachezaji wa kitanzania wenye thamani kubwa.

Venus Star

JF-Expert Member
Dec 6, 2018
19,731
59,994
Katika kwenye transfer website wafuatao ni wachezaji wa kitanzania Africa wenye bei kubwa.

Screenshot_20220106-124340.png
 
Yaani kwanza hii list ilipoanza tu manula na bocco Plus gadiel kumpita feisal fundi nimeipuuzia.

Hii itakuwa mudi kaedit, sasa bocco na nyoni nani atawanunua africa hapa?
Ila makolo huwa mnavunja mbavu sana watu
 
Yaani kwanza hii list ilipoanza tu manula na bocco Plus gadiel kumpita feisal fundi nimeipuuzia.

Hii itakuwa mudi kaedit, sasa bocco na nyoni nani atawanunua africa hapa?
Ila makolo huwa mnavunja mbavu sana watu
Kabwili bhana wanashida mno.
 
Back
Top Bottom