Kweli ila ushauri wa kuolewa naona hajauchukulia seriously, hapa tatizo lake ni uoga tu. Uoga wake unapelekea aanze ku hallucinate, kuona mambo ambayo hayapo. Akiishi na mtu iwe mme au ndugu uoga utapungua na hiyo hali itaisha.Mkuu niligundua baad
Mkuu niligundua baadaye kuwa ni mwanamke na ambaye anakaa peke yake.Kwa hiyo ni matokeo ya uoga ndani kukaa peke yake.Akiolewa hutasikia tena akileta mambo hayo hapa.Ukimuiliza atakwambia wakati huo kwa nini "hayaoni" tena hayo "madude" atakuambia kusali kumemsaidia! Ninawaomba wanaume wenzangu (wanaume kweli) tuwasaidie hawa Dada zetu.Wanaangamizwa na wqnaume wapiga pesa.
Naaam mkuuu hapo wachawi na majini hawakufati kabisa.Nyingine vuta cha ARUSHA.Mmmhhh kumbe loh hii nimesikia Leo kitimoto alivyo tamu kumbe dawa
Kweli ila ushauri wa kuolewa naona hajauchukulia seriously, hapa tatizo lake ni uoga tu. Uoga wake unapelekea aanze ku hallucinate, kuona mambo ambayo hayapo. Akiishi na mtu iwe mme au ndugu uoga utapungua na hiyo hali itaisha.
Waafrika tumeharibikiwa kwa kudhani kila kitu ni uchawi ilhali uchawi wenyewe haupo.
Mweee me nlijua mwishoni utasema kwa usumbufu huu nimeamua kuokoa kumbe bado!!
~Biblia inasema imani bila matendo imekufa,km una mwagia maji ya baraka na huna imani ww huna kitu na ndio mana unahisi uliyafungulia maana huna IMANI.
~Kuombewa tu haitoshi,amua sasa mwamini YESU,weka nae agano la haki.
Biblia inasema"wote walio mpokea aliwapa uwezo (haki) ya kuwa wana wa Mungu"halafu utaona baada ya hapo YESU nn ana fanya maishani kwako.
~Hakuna kingine dawa ni KUOKOKA tu
Sent from my SHV-E250S using JamiiForums mobile app
Ikiwa biblia imezungumzia uchawi zaidi ya mara 10 halafu unasema uchawi haupo sijui unasoma biblia gani? au unayako umeitunga. mtu mwenye shida ya Maluwe luwe Hallucination kuna mtu anayejua chanzo hicho atupie sasa?
Naaam mkuuu hapo wachawi na majini hawakufati kabisa.Nyingine vuta cha ARUSHA.
Post sent using JamiiForums mobile app
Kumbe wewe ukisali naomba kitu kimoja? PoleeKwa nini unasali dhidi ya mambo yasiyokuwepo? Bora ukatumia muda wako na sala kuombea marehemu walioko toharani.Bora uombee wanaosumbuka kwa kukosa ada za masomo ili wawe wavilivu ya hali ngumu wanayokuwa nayo.Waombee wagonjwa wanaoteseka kwa kukosa matibabu sababu ya umaskini wa kipato au tekinolojia stahiki ya kimatibabu.Peleka sala zako kwa mambo yanayo-exist.
Kumbe wewe ukisali naomba kitu kimoja? Polee
Unajuaje kwamba nilipo kuna wabunge na madiwani?
Hujajibu swali langu, unajuaje huku nilipo kuna madiwani na wabunge?Ndiyo maana nilikuuliza lile swali, mwenzangu, humo kichwani zimo kweli?
Hujajibu swali langu, unajuaje huku nilipo kuna madiwani na wabunge?
Ushauri mahususi kabisaUkiona kitu kama hicho it's damu ya yesu, njoo kesho ubungo Emaus kituo cha karesmatik kuna kongamano limeanza,muda SAA 3 had sits unafanyiwa deliverence na SAA 8 had 12 ndo Luna kongamano lenyew mahubir na maombez
😀😀Wenzako ikifika usiku ni marufuku Kulitamka neno CHUMVI,
huwa tunaita MUNYU,
sasa wewe ita chumvi uje ulale na mazonge...( nimetoka ndani mada maramoja, ila nitarudi baadae)