Siku hizi sipendi sana kusoma soma humu maana najikuta napata hasira, yaani umpe 700 kwa hiyo stori ya kusimuliwa tu? Sawa tu na mimi nikiamua kukuambia kwamba nilipokuwa Sumbawanga nilimtukana mzee asubuhi nikajikuta nimelala mtoni, ndo mnapenda kuamini upuuzi wa hivyo?, na log off!Ningekua na namba yako ningekutumia 700 ili 500 ununue juice halafu miambili yakutolea
Miaka ya 90 hiyo... Kitambo sana ila nasikia jamaa aliuliwa kizembe sana kulingana na matukio yakeHuku Tanga kuna mmoja alkuwa ana itwa kachupi alikuwa ni shidaaa