shushushu VIP
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 4,800
- 4,319
huyu anamsema halison kapigaa saut yake kama yupo kaburiniYule si kashaacha Mkuu na kuchaguliwa kuwa Mkurugenzi wa Wilaya? Ama nawachanganya?
huyu anamsema halison kapigaa saut yake kama yupo kaburiniYule si kashaacha Mkuu na kuchaguliwa kuwa Mkurugenzi wa Wilaya? Ama nawachanganya?
Jf ndio kila ktu kwangu, redio huwa sioni cha kisikiliza siku hizi aiseeee, maana kama ni habari, story, porojo, umbeya, tetesi, gossip, mmu, uchumi, elimu, jf doctor, intelligence, biashara, kila kitu nakipata humu kwa kweliUpo kama mimi...Tv na Redio nina muda mrefu sana....kwangu JF ndo sehemu ya kupumzikiaa

Kila kitu kinapatikana huku ndani!Jf ndio kila ktu kwangu, redio huwa sioni cha kisikiliza siku hizi aiseeee, maana kama ni habari, story, porojo, umbeya, tetesi, gossip, mmu, uchumi, elimu, jf doctor, intelligence, biashara, kila kitu nakipata humu kwa kweli![]()
![]()
Mimi bado nawasikilizaga mkuu wako vizur nikicompare na TBC international huwa nahisiNina miaka mingi sana sijasikiliza radio
Mara ya mwisho nilikuwa napenda sana kusikiliza Kiss FM enzi za African beats!!!
nkiisikiliza tbc international kwa kweliMalis sijui huko wapi! kuna demu alikuwa anaitwa Sharban Abubakar kitu kama hicho kipindi kilikuwa hot kinoma nlikuwa sikikosagiKile kipindi ni hatari mara ya mwisho kukiskiliza ni 2007 na Dj Malis
DJ Malis na Sharban sijui wako wapi, kilikuwa bomba sana aiseeeMalis sijui huko wapi! kuna demu alikuwa anaitwa Sharban Abubakar kitu kama hicho kipindi kilikuwa hot kinoma nlikuwa sikikosagi
dah walikuwa bomba sana na watangazaji wa ile radio ni wa mfano wa kuigwa wa radio nyingine. Bado radio uko bomba sana tuu mkuuDJ Malis na Sharban sijui wako wapi, kilikuwa bomba sana aiseee
Kile kipindi kilikuwa kizuri SanaNina miaka mingi sana sijasikiliza radio
Mara ya mwisho nilikuwa napenda sana kusikiliza Kiss FM enzi za African beats!!!
Kile kipindi ni hatari mara ya mwisho kukiskiliza ni 2007 na Dj Malis
ananikera kufafanua habari, we msoma habari kama unasoma uzi huu, ni hv bongo hatupendi mbwembwe km tupo kwenye maubiri, yaani anasoma kama anasikitika hivi au anatuonea huruma sisi watazamaji, yaani mwewe kama vile mtu mkuuuuubwa sana.huyu anamsema halison kapigaa saut yake kama yupo kaburini
Mh.. Huyu jamaa simpendi sijui kwaniniHahaha. Ya Sam Mahela kutaka kuwa kama Kikeke!
yani kumbe tupo wengi...Kiss fm iikuwa motoo enzi za Dee7 na dj malis kwenye African Beats.Kile kipindi ni hatari mara ya mwisho kukiskiliza ni 2007 na Dj Malis
mkuu bado vipindi vipo ila sio hot kama enz zile mkuuyani kumbe tupo wengi...Kiss fm iikuwa motoo enzi za Dee7 na dj malis kwenye African Beats.
Pia jumamosi kulikuwa na weekend top 30 ya Ryan seacrest na American top 40 jumapili.
Nilikuwa msikilizaji mzuri haswaa!
Yule ndiyo chizi kabisa, mara mchungaji , mara huko huko anatangaza matamasha ya fiesta .... is totally disorganized guyKuna yule msoma habari wa clouds tv anamuiga Salim Kikeke
Yule ndiyo chizi kabisa, mara mchungaji , mara huko huko anatangaza matamasha ya fiesta .... is totally disorganized guyKuna yule msoma habari wa clouds tv anamuiga Salim Kikeke
Dah mbaya sana sasa, sahivi itakuwa sio thrilling tenamkuu bado vipindi vipo ila sio hot kama enz zile mkuu