Wachambuzi wetu wa michezo wanakwama wapi

rodrick alexander

JF-Expert Member
Feb 12, 2012
15,186
20,144
Kwa wale mnaofatilia mipira ya nje namaanisha ligi za Ulaya au michuano ya kimataifa, kila baada ya mechi kunakuwa na uchambuzi wa timu na wachezaji binafsi kupewa makisi kutokana na uchezaji wao na wapi walikosea.

Cha ajabu huku kwetu hakuna uchambuzi wa kitaalamu zaidi ya kusifia mchezaji fulani alikuwa nyota au kumtaja mchezaji fulani alidhibitiwa bila kujali hata huyo aliyedhibitiwa alifunga goli au kutoa pasi ya goli.

Sanasana wamekuwa wakiripoti mapenzi binafsi kwa kifupi inabidi wabadilishe namna ya kutathimini mechi
 
Kwa wale mnaofatilia mipira ya nje namaanisha ligi za Ulaya au michuano ya kimataifa, kila baada ya mechi kunakuwa na uchambuzi wa timu na wachezaji binafsi kupewa makisi kutokana na uchezaji wao na wapi walikosea.

Cha ajabu huku kwetu hakuna uchambuzi wa kitaalamu zaidi ya kusifia mchezaji fulani alikuwa nyota au kumtaja mchezaji fulani alidhibitiwa bila kujali hata huyo aliyedhibitiwa alifunga goli au kutoa pasi ya goli.

Sanasana wamekuwa wakiripoti mapenzi binafsi kwa kifupi inabidi wabadilishe namna ya kutathimini mechi
Nipe uchambuzi wa kitalaamu mechi ya jana Yanga Vs Azam
 
Mimi sio mchambuzi mfano fatilia mechi ya Aston villa na Chelsea goal.com baada ya mechi utaona kuna player rating ambako unafanyika uchambuzi wa mchezaji mmoja mmoja na timu nzima
 
Wee kweli hujui mpira
😂😂😂😂mi kwangu muhimu matokeo,tatzo la uchambuzi watu wanajadili studio utasikia mchezaji flani atolewe aingie fulani mambo mengiii,
alafu kocha na wachezaji wanajadili changing room haileti impact yoyote kwa mabadiliko mechi.
 
😂😂😂😂mi kwangu muhimu matokeo,tatzo la uchambuzi watu wanajadili studio utasikia mchezaji flani atolewe aingie fulani mambo mengiii,
alafu kocha na wachezaji wanajadili changing room haileti impact yoyote kwa mabadiliko mechi.
Duh wee jamaa bwana sasa wee uchambuzi ndio unakusaidia wewe kujuankwa nini timu moja inashinda na nyingine kufungwa
 
Duh wee jamaa bwana sasa wee uchambuzi ndio unakusaidia wewe kujuankwa nini timu moja inashinda na nyingine kufungwa
Mimi nikiangalia game najua tu kwanini Azam na Yanga walitoka sare basi inatosha nianze nikae nisikilize anisimulie nichoangalia mda huo huo,mi nimeshindwa kufwatilia uchambuzi kwa kweli.
 
bongo hapa hakuna wachambuzi wa soka mzee,waliokuwepo ni wasimuliaji tu.....kama wale wanaopenda kusimulia muvi kipindi kile shuleni utakuta mtu kakusanya rundo la watu wamemzunguka anawasimulia muvi aliyoiona jana usiku hahahahahaha

sasa mtu anachambua soka unamsikia anasema "alikimbia kama mita 3 akaturn akaangalia kushoto akapiga shuti katika angle ambayo hata angekua degea asingedaka " sasa kwani wewe ni kipofu hayo yote hujayaona?
 
bongo hapa hakuna wachambuzi wa soka mzee,waliokuwepo ni wasimuliaji tu.....kama wale wanaopenda kusimulia muvi kipindi kile shuleni utakuta mtu kakusanya rundo la watu wamemzunguka anawasimulia muvi aliyoiona jana usiku hahahahahaha

sasa mtu anachambua soka unamsikia anasema "alikimbia kama mita 3 akaturn akaangalia kushoto akapiga shuti katika angle ambayo hata angekua degea asingedaka " sasa kwani wewe ni kipofu hayo yote hujayaona?
Mkuu ni kweli wewe tupo pmj na mimi,mpira nimeangalia mimi najua hayo yote et baadae mtu akae pale aanze kunisimulia na kujitia yeye ndio kocha utasikia kocha afanye mabadiliko kwenye safu ya ulinzi, Tz wajuaji kila kitu.
Mtoa mada wewe angalia mechi kwa utulivu na akili zako hutaona huo uchambuzi ni simulizi kama simulizi zingine.
 
Kwa wale mnaofatilia mipira ya nje namaanisha ligi za Ulaya au michuano ya kimataifa, kila baada ya mechi kunakuwa na uchambuzi wa timu na wachezaji binafsi kupewa makisi kutokana na uchezaji wao na wapi walikosea.

Cha ajabu huku kwetu hakuna uchambuzi wa kitaalamu zaidi ya kusifia mchezaji fulani alikuwa nyota au kumtaja mchezaji fulani alidhibitiwa bila kujali hata huyo aliyedhibitiwa alifunga goli au kutoa pasi ya goli.

Sanasana wamekuwa wakiripoti mapenzi binafsi kwa kifupi inabidi wabadilishe namna ya kutathimini mechi
Ndugu yangu unafuatilia kituo gani cha media, nikushauri mfuatilia George Ambagile Wasafi FM yuko vizr sana kuelezea tactics jinsi mpira ulivyochezwa, au kidogo hawa Kipyenga cha East Africa Radio cha saa mbili usiku, utakutana pia na mafundi.
Huko kwingine wanajua kuchambua siasa za kwenye mpira
 
Ndugu yangu unafuatilia kituo gani cha media, nikushauri mfuatilia George Ambagile Wasafi FM yuko vizr sana kuelezea tactics jinsi mpira ulivyochezwa, au kidogo hawa Kipyenga cha East Africa Radio cha saa mbili usiku, utakutana pia na mafundi.
Huko kwingine wanajua kuchambua siasa za kwenye mpira
Kweli kabisa mzee George ambangile yupo vizuri Sana anajua kuichambua soka in deep mpaka Raha Payrol
 
😂😂😂😂mi kwangu muhimu matokeo,tatzo la uchambuzi watu wanajadili studio utasikia mchezaji flani atolewe aingie fulani mambo mengiii,
alafu kocha na wachezaji wanajadili changing room haileti impact yoyote kwa mabadiliko mechi.
Uchambuzi hauna maana ,kuwe tu na mtangazaji mzuri wa mechi,kwanza kama unaangalia mechi mchambuzi wa kazi gani wakati kwa macho unaona kinachofanyika
 
Ndugu yangu unafuatilia kituo gani cha media, nikushauri mfuatilia George Ambagile Wasafi FM yuko vizr sana kuelezea tactics jinsi mpira ulivyochezwa, au kidogo hawa Kipyenga cha East Africa Radio cha saa mbili usiku, utakutana pia na mafundi.
Huko kwingine wanajua kuchambua siasa za kwenye mpira
Ambangile anajitahidi kufanya analysis ila hapewi muda wa kufanya hivyo,badala yake muda mwingi wanamtoa kwenye reli na kujikuta na yeye amekuwa msikilizaji au mpiga zogo tu....kifupi uchambuzi upo mbele tu,bongo nyoso
 
Mimi sio mchambuzi mfano fatilia mechi ya Aston villa na Chelsea goal.com baada ya mechi utaona kuna player rating ambako unafanyika uchambuzi wa mchezaji mmoja mmoja na timu nzima
Ishu nyingine zinakwama sababu ya teknolojia...mfano km aizokimbia mchezaji au tackle alizofanya machine inahusika hapo then wachambuzi wanafanya analysis kwenye framework ya hizo takwimu....BT kwa bongo hapa inakua ngumu..inabidi waangalie tu nani kakimbiza...nani kakabwa Leo na blah blah.
Hapo kunawachambuzi wanajitahidi hivyohivyo kama Ambangile..Jeff Lea..James Samwel pia Ally Mayai huwa wanaelezea mikimbio ya wachezaji kama no mibaya au mizuri...BT the rest dah kama wapo vijiweni tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom