Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,360
- 11,510
Wachambuzi hao wanasema kwa sasa ni kama wanadhalilishwa sana. Kila wanapoenda kupost Insta kuwa Mchezaji X anasajiliwa Simba wanakuja kukuta siye.
Hata wanaposema kuwa Simba itamtangaza mchezaji B wanakuta anakuja tangazwa mchezaji A. Jambo hili wanaona ni kama kudhalilishwa sababu wao tayari wanakuwa wamewaaminisha wafuasi wao kitu flani.
Wanasema inaonekana kuna mtu ndani ya Simba kwa sasa ndo anawaingiza chaka tofaut na hapo awali. Wachambuzi hao wameenda mbali na kudai watagomea kutangaza habari za Simba. Mbona kwa upande wa Yanga wanapata habari kama zilivyo kwa nini Simba mambo yaendeshwe kwa siri mpaka watakapo wao?
Uongozi wa Simba kama kawaida yake umeona haina haja kujibu shtuma ambazo wenyewe umeiita za Kipumbavu. Umenyamaza tu. Jambo ambalo limechukuliwa kama ni dharau maana hata ile press ya Manara viongozi wa Simba walidharau tu jambo ambalo liliwaudhi sana Yanga na Manara mwenyewe.
Hata wanaposema kuwa Simba itamtangaza mchezaji B wanakuta anakuja tangazwa mchezaji A. Jambo hili wanaona ni kama kudhalilishwa sababu wao tayari wanakuwa wamewaaminisha wafuasi wao kitu flani.
Wanasema inaonekana kuna mtu ndani ya Simba kwa sasa ndo anawaingiza chaka tofaut na hapo awali. Wachambuzi hao wameenda mbali na kudai watagomea kutangaza habari za Simba. Mbona kwa upande wa Yanga wanapata habari kama zilivyo kwa nini Simba mambo yaendeshwe kwa siri mpaka watakapo wao?
Uongozi wa Simba kama kawaida yake umeona haina haja kujibu shtuma ambazo wenyewe umeiita za Kipumbavu. Umenyamaza tu. Jambo ambalo limechukuliwa kama ni dharau maana hata ile press ya Manara viongozi wa Simba walidharau tu jambo ambalo liliwaudhi sana Yanga na Manara mwenyewe.