Yoda JF-Expert Member Joined Jul 22, 2018 Posts 62,522 Reaction score 104,794 Sep 4, 2024 #1 Wachambuzi na watangazaji wa mpira fahamuni kocha sio sawa na mwalimu, kocha ni zaidi ya mwalimu. Mnapomuita au kumfananisha kocha na mwalimu mnakuwa kama watu makanjanja wasio na weledi katika kazi yenu.
Wachambuzi na watangazaji wa mpira fahamuni kocha sio sawa na mwalimu, kocha ni zaidi ya mwalimu. Mnapomuita au kumfananisha kocha na mwalimu mnakuwa kama watu makanjanja wasio na weledi katika kazi yenu.
ngara23 JF-Expert Member Joined Aug 31, 2019 Posts 16,682 Reaction score 39,078 Sep 4, 2024 #2 Kabisa mkuu
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 175,907 Reaction score 193,922 Sep 4, 2024 #3 Cha muhimu ushindi... Cc: Mahondaw